Recent content by Anwar2012

  1. Anwar2012

    Water Melon Farming

    #Knowyourfruitswellseries WATERMELONS!!! Watermelon is a high value crop in Kenya and does well in warm areas with minimal irrigation. The crop requires well drained loamy soils, rich in nutrients and a soil PH of between 6-6.8. It requires minimal watering and when irrigating,avoid watering...
  2. Anwar2012

    Kilimo bora cha Mananasi: Uandaaji wa shamba, upandaji, utunzaji wa mimea na uvunaji wa mananasi

    Kilimo cha nanasi, ni zaidi ya ulivyoandika. atakaefuata mchanganuo huo ameliwa
  3. Anwar2012

    Nauza shamba lenye kila kitu Kigamboni

    King Kong na raimondi. Kuweni wastaarabu, Siasa sio kila kitu
  4. Anwar2012

    Nauza shamba lenye kila kitu Kigamboni

    Concrete 15, shamba halimo kwenye himaya ya mtu Naliuza. Kwa sababu ninakubwa zaidi ya hilo mara 10. Hivyo management imekuwa shida kwa zote. Nalimiliki since 2004.
  5. Anwar2012

    Nauza shamba lenye kila kitu Kigamboni

    Nauza Shamba 7 acres, ina nyumba ya vyumba vivili 2. Vyoo 2, bafu 2. Kisima Kirefu cha mita 50. Sim tank 2 za lita 10,000. Drip irrigation za ekari 10 + Mabanda ya kuku 1,000+. Vifaa vya kulishia kuku 1000+. Nyumba ya Mbwa Kubwa 2. Bei nataka 170,000,000. Simu 0768939433 or watsapp same #
  6. Anwar2012

    Shamba zuri linauzwa Puna, Kigamboni

    40 Million .
  7. Anwar2012

    Shamba zuri linauzwa Puna, Kigamboni

    Shamba Zuri, Safi lisikokuwa na visiki 3.5 acres lipo yaleyale puna Kigamboni 40 Km from ferry. Lina kisima Kirefu na maji zaidi ya litres 15,000 per hour. Lina rooms 2 tayari, Vyoo, bafu na store. Irrigation system nzuri sana. Naliuza kwa sababu nimepata shamba kubwa zaidi hivyo siwezi...
  8. Anwar2012

    Nauza Tractor Massey Ferguson

    Picha ku upload zinanisumbua. Bei kuanzia 15 Million to 22 Million nipo watsapp. 0768939433
  9. Anwar2012

    Nauza Tractor Massey Ferguson

    Habari nauza tractors Aina Massey Ferguson zote toka Canada. Aina MF 280, MF 135, MF 380 Jumla zipo km 10. Zote zipo Tabata barakuda. Bei zake ni poa sana. 0768939433. Kwa mawasiliano zaidi.
  10. Anwar2012

    Selikali mmekopa Stanbic sasa wanatukomesha

    Bank M, ya Sanjiv. Msanii wanakata 2000 per transaction! Transaction 10= 2000X10, service charge 25,000/- Wezi kina Mkono
  11. Anwar2012

    Picha: Rais Kikwete akutana na Ibrahim Lipumba IKULU - Dar-es Salaam

    Wewe baba yako ndio uchwara , mbona baba yako asiwe Proffesor. Paka asie na sharubu
  12. Anwar2012

    Picha: Rais Kikwete akutana na Ibrahim Lipumba IKULU - Dar-es Salaam

    Muslims in Da hauz,ndio nini? Watu wameamka!
  13. Anwar2012

    Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

    Mimi ninao Kuchi , ila siuzi kwa sasa. Mmoja nilimnunua 40,000/- wadogo na jogoo mkubwa 120,000/- 3 na mitetea 6. Wawili Wameibiwa Nina Mayai 25 na watatu bado wanataga. Hawa ni Special breed wazuri hata kwa kuwalook. Mungu akijaalia ntakuwa na vifaranga 30 next month August 2013.
Back
Top Bottom