hello good people
naomba mwenye kujua link/website yeyote ambayo naweza download vitabu mbalimbali vya college department ya community development anisaidie
Katika simple observation niloifanya nimegundua kuwa binti akipewa mimba najamaa, mwanaume is in risk of being sentenced compared to binti.
Likewise kama kunaushirikiano katika kutoa mimba binti anaonekana guilt compared to mwanaume.
Hivi kwa nini iko hivo? kwanini isiwe kama ni kufungwa basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.