Recent content by ANTMAK THEPHD

  1. A

    Rais Magufuli amkingia kifua Paul Makonda. Asema yeye ndie anapanga nani akae wapi!

    Tutakutana uchaguzi ujao yakijirudia haya kuna kila sababu ya watanzania kupimwa akili
  2. A

    Utendaji wa Magufuli na mfano wa msichana wa kazi

    0nafikili tukimpa ataweza?
  3. A

    Wanachuo hatuandikishwi kwenye BVR?

    Vyuo vyote dar es salaam bado atujaandikishwa na ndo zimebaki siku kadhaa wengine tunafunga tunakoelekea wameshamaliza kuandikishwa sasa inamaana kwetu sisi ndo imetoka hivyo?
  4. A

    Deni la taifa lapanda na kufikia zaidi ya trilioni 40

    Kama pato la familia yangu kwa siku ni buku, ni kiasi gani nitachangia?
  5. A

    CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

    Ata kama, kwani mwaka una dakika moja kwamba tutavumilia?
  6. A

    CCM hapa imewapiga changa la macho Watanzania

    Kama uti wa mgongo wa uchumi wa nchi yetu ni kilimo, je kupandisha gharama za pembejeo za kilimo tunatumia akiri au matope?
  7. A

    Kushindwa kwa sera za CCM ndio chanzo cha umaskini wa Watanzania!

    Inajulikana kuwa mafanikio ya mtu ni mtu mwenyewe hilo liko sawa. Lakini pia support ni kitu kingine cha maana kwa maana kwamba hata kama utakuwa juhudu kiasi gani ongeza fikra pevu kama akuna support ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Tanzania ni nchi yenye rasilimal nyingi lakini kwa nini...
  8. A

    Malumbano ya Hoja: Nyerere na Katiba; Je Mabadiliko Yanazingatia Hali Halisi ya Sasa?

    Kunuenzi mwalimu kwa lipi hasa lililopfanyika?
  9. A

    Serikali isiyo na haya wala aibu kwa Waalimu

    Aina maana yoyote kwa waalimu kukataa, ikiwa tangu awali ndo tabia ya viongozi kuwanyanyasa waalimu, cha kufanya kwa sababu wao wanateketeza pesa ya serikali kwa maswala ya kipuuzi. hivyo basi kama mwalimu nenda ukalipoti shule asubuhi kusibitisha uwepo wako kisha rudi nyumbani ukaendelee na...
  10. A

    Barabara Dar kwenda Chalinze kuwa ya kulipia

    Inamaana wanamaanisha barabara lililopo liko chini ya kiwango? Pia nchi itafaidika vip na mradi huo? au ndo tuseme watavuna kwa miaka kumi kufidisha gharama ya ukarabati wa barabara hiyo?
  11. A

    Kwa malezi ya namna hii lazima mtoto awe na tabia zisizoeleweka

    Tabia ya mtoto inasadifu tabia ya wazazi wake maana mwenye jukumu la malezi ya mtoto ni Baba na Mama yake ikiwa wao watakuwa bize wakamkabizi mfanyakazi wa ndani kulea mtoto basi tabia atakayo kuwa nayo ndo wazazi wake walivyo, kwasababu ameona mabadiliko kwa mwanae na akashindwa kukemea kwa...
  12. A

    Tambua aina hii ya utapeli

    Utapeli auna mjanja ilo linawezekana sana, chamsingi ni kuwa makini la sivyo mtabaki kujuta wakati kinga ni bora kuliko tiba
Back
Top Bottom