Recent content by Antipasi jeromini

  1. A

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu: Mikopo tumetoa kwa vigezo. Wanafunzi wengine hutumia mikopo kununulia Tv na pombe

    Hapa serikali ya mtakatifu imeishiwa hoja.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu: Mikopo tumetoa kwa vigezo. Wanafunzi wengine hutumia mikopo kununulia Tv na pombe

    Duh, hii ni hatari zaidi ya hatari. Eti pombe na TV it's not true watafute lingine kabisa, ni bora tu wakawa wa kweli tu kwamba hawana hela ya kuwakopesha wanafunzi
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    Ni kweli kiongoz
  4. A

    JamiiForums Tanzania KUTOKA VIKINDU: Polisi wapambana na majambazi, askari mmoja adaiwa kuuawa

    Hii ni hatari aise, kama nchi yetu imefikia hatua hiyo duh:
  5. A

    JamiiForums Tanzania Lowassa kakosea? Hapana, tujikumbushe ushauri huu

    Bwana upo sawa wapuuzi ndio wanakuwa wazito kukuelewa. Maana hata mtu akitenda makosa, mungu humuandika kwenye kitabu cha hukumu ya milele. Lakini tu anapotubu na kumrejea mungu wa kweli, mungu huyuhuyu humsamehe na kumfuta katika kitabu cha hukumu, na kumuandika katika kitabu cha watakatifu...
  6. A

    JamiiForums Tanzania UKAWA wamjibu Magufuli kuhusu kutofanya siasa, wasema wataendelea kwa kuwa katiba inawaruhusu

    Huyu raisi hana nia mbaya hata kidogo na hili taifa letu, ana nia nzuri tu ya kuifanya serikali iwe na kauli. Lakini kuna baadhi ya mambo mengine anayoyawekea msimamo, ambao msimamo huo ukiutazama jujuu utaona ni mzuri lakini kiundani ni wa makosa. Kwa mfano swala la demokrasia na vyama vya...
Back
Top Bottom