Recent content by anthony kachillah

  1. A

    Naomba msaada juu ya hili

    bodi ya mikopo ya vyuo vikuu leo imetoa majina wa wanafunzi ambao waliomba mkopo lkn kukawa na makosa yaliyojitokeza wakati wanaomba na hivyo kutoa muda wa siku kadhaa ili kufanya marekebisho. kwa upande wangu nimekuta wameniambia hakuna guarantor ID , naombeni msaada wenu namna ya kurekebisha...
  2. A

    Diva, B12, na Mchomvu wapigwa chini Clouds

    Duh! Mbona XXL kwisha habari yake. 7babu hawa jamaa Baba Johnniiiiii na B12 walikuwa wanaipamba kinoumer noumer. Dj Zero huwezi kuchezesha MIXER kwa mzuka zaidi pasipo haya majembe. Kila la kheri popote muendako Mamen Mchomvu na B Twangalala.
  3. A

    Mlipuko tena Arusha, jeshi la Polisi watuhumiwa

    Kama hali ndo iko hivyo. Yanini kusema eti nchini kwetu kunaamani sasa?
  4. A

    Edward Lowassa atangaza rasmi mbio zake za urais 2015...

    Mi namuombea mafanikio 2 katika safari yake anayotaka kuianzisha.
Back
Top Bottom