Recent content by Anonymus

  1. Anonymus

    Urithi kwa watoto wa bi mdogo

    Wanasapotiwa pesa ya kula, pa kulala papo (hiyo nyumba husika) wenyewe wanachotaka ni kupewa kila kitu na kula bata kwa minajili ya mali za urithi
  2. Anonymus

    Urithi kwa watoto wa bi mdogo

    Basi kwisha habari yetu... yaani mambo ya kuanza kusema "ile ilikuwa'ga nyumba yetu" hayo ndio yananipa stress!
  3. Anonymus

    Urithi kwa watoto wa bi mdogo

    Mimi sio msimamizi bali ni moja ya watoto wa bi mkubwa ambao hatutaki mali zigawanywe.
  4. Anonymus

    Urithi kwa watoto wa bi mdogo

    Yaani ndugu yangu umasikini ni mbaya sana, maana ni miaka 10 toka mzee afariki ndio yanakuja kuibuka haya sasa tena kwa ugomvi mkubwa wa kuumizana kabisa, mtoto wa bi mdogo kamvaa mtoto wa bi mkubwa baada ya mabishano kuhusu mali... yaani ndio maana nikajikuta hadi usingizi nakosa kwani...
  5. Anonymus

    Urithi kwa watoto wa bi mdogo

    Shukrani kwa majibu mazuri
  6. Anonymus

    Urithi kwa watoto wa bi mdogo

    Habari wana JF, ni matumaini yangu wote mko sawa, nadhani hii ni mara ya kwanza kupost hapa ubaoni ninaombeni msaada maana nimeshindwa hata kulala yaani. Labda nielezee hivi, sisi ni wakristo, mzee alioa na kuzaa watoto 3 na bi mkubwa, huyu mama walichuma mali nyingi sana (nyumba, magari...
  7. Anonymus

    Kwanini amtongoze rafiki yangu

    Uhakika Gani tena unautafuta? Au nirudie swali... Ni kipi kitakupa uhakika kuwa kweli hakufai?
  8. Anonymus

    Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

    Nmecheka kifala [emoji23][emoji23]
  9. Anonymus

    Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

    Inaonekana umbali wenu umepunguza Hadi mawasiliano yenu, ndio maana bond imepungua. But good thing ni kwamba Feelings za mwanamke huwa zinatengenezwa, ni mindset yako kwanza na willingness yako. Kama kweli umedhamiria kurudisha penzi "anzeni uchumba upya" I mean zile mlikuwa nafanya kipindi...
  10. Anonymus

    Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

    Kama kweli ni yeye kwenye picha na ni yeye aliyepost au tuseme kweli anajiuza basi wote wewe na yeye mko sawa, yeye ni muuzaji na wewe ni mnunuzi... You deserve each other
Back
Top Bottom