Ligi Ya mabingwa Barani Africa kuendelea Leo Tena ambapo Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye michuano hiyo YANGA SC watashuka dimbani majira Ya saa 2 usiku dhidi ya CBE ya Ethiopia.
Mkondo wa kwanza ulimalizika kwa Yanga sc kushinda Goli 1 ambalo lilifungwa na Prince Dube⚽️
WABAKAJI WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI ✊🏽
.
Watu wanne wanaotuhumiwa 'kutumwa na afande" kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dares Salaam leo Jumatatu Agosti 19, 2024 wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mawili.
.
Watuhumiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Kanda Dodoma...
Katika Mechi Ya leo umeridhika na kiwango kilichooneshwa na Hizi Timu mbili?
Unahisi Manchester hii Ya 2024/25 itakuwa hatari zaidi?
Kwa kiwango kilichooneshwa Unawapa asilimia ngapi United za Ubingwa?
Vipi kiwango cha Bruno leo? Kimekuridhisha?
Ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama NBC premier league kuanza kutimua Vumbi hii leo Agosti 16 2024 ambapo mchezo wa kwanza kwa msimu wa 2024/25 unapigwa leo kati Ya Pamba Jiji Fc 🆚️ Tanzania Prisons
Nchini Marekani Mfungwa Ambaye Alihukumiwa Kifo Na Kukaa Jela Karibu Miaka 50 Amekutwa Hana Hatia.
Glynn Simmons, Mfungwa Aliyehukumiwa Kifo, Amekutwa Hana Hatia Baada Ya Karibu Miaka 50 Jela, Na Imemfanya Kuwa Mfungwa Aliyetumikia Kifungo Cha Muda Mrefu Na Halafu Kukutwa Hana Hatia, Mfungwa...
➡️ Kmc Fc na Simba Sc zimefikia makubaliano ya uhamisho wa kiungo Awesu Awesu kwa ada ambayo haijawekwa wazi.
✅ Rasmi Awesu Awesu ataitumikia Simba Sc kwa miaka miwil.
Klabu ya KMC FC inapenda kuwataarifu wanakinondoni na wadau wa Soka nchini kwamba tumefikia makubaliano ya uhamisho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.