Klabu ya Simba ikiwa inaelekea kumaliza Pre season yake huko Misri inataraji Kucheza Michezo miwili ya kimataifa ya kirafiki
.
Simba itacheza na Wadi degla ambayo inashiriki ligi kuu ya Misri kesho tarehe 26 na Mchezo mwingine itacheza na Fs Fassel kutoka Liberia na Fessel ni Bingwa wa Liberia...
Unaweza kuchukua mzigo wa 50,000 ukatengeneza faida mara mbili, kwahiyo unaweza kutengeneza 100,000 hadi 120,000 na ukija kutoa faida unajikuta na 60,000 faida kwa siku kama mzigo ukiisha lakini"
siwezi kukubali (kuajiriwa0 maana nikipiga hesabu kwa mwezi ninauhakika wa kuingiza 400,000 kwa...
JE NI KWELI HIKI NI KIRUSI CHA UKIMWI? KAMA BAADHI MEDIA ZINAPOST INSTAGRAM ZIKISEMA HIKI NI KIRUSI CHA UKIMWI KIKIWA KIMEKUZWA KWENYE ELECTRONIC MICROSCOPE BY ANOLD MEDIA
Timu ya Taifa ya Tanzania, #TaifaStars, imeonyesha uwezo wake kwa kushinda mechi zake mbili za kirafiki katika michuano ya CECAFA 3 Nations Tournament, ikiwa ni maandalizi ya Michuano ya Afrika ya Wachezaji wa Ndani (#CHAN) 2024 inayotarajiwa kuanza Agosti 2, 2025.
Katika mechi ya kwanza Julai...
Mpaka sasa usajili wa nyota wa kimataifa wa Ghana na Singida Black Stars Jonathan Sowah ndio umelipa kwa asilimia kubwa zaidi,Jonathan Sowah amecheza michezo sita [7] amefunga magoli [7] hii inaonyesha dhahiri kwamba Sowah ni mchezaji wa kiwango kikubwa sana.-JONATHAN SOWAH (owns)1. Attacking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.