Recent content by annetta

  1. A

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    Thobias Mwesiga Mkuu wa kitengo cha Siasa Usalama wa Taifa ni yule alikuyekuwa Mkurugenzi wa sheria NEMC siku za nyuma au ni mwingine ??????
  2. A

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo balozi mtarajiwa wa Marekani nchini Tanzania….

    Wanakaribishwa na wewe. Wengine tunakataa kuwa wide eyed and naive, wasitufanye masakala na mapoyoyo. Tunajaribu kumfukuza Samia, watu wamekufa wakijaribu kumpinga na kumfukuza Samia kwa sababu anagawa bure, anajimilikisha, anatapanya rasilimali za Tanganyika. Hatuwezi kubweteshwa na balozi...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo balozi mtarajiwa wa Marekani nchini Tanzania….

    KIPAUMBELE CHA KWANZA balozi kasema akija Tanzania ni kwenda bungeni kupitisha sheria za kustawisha mazingira ya biashara ya uchimbaji madini kwa makampuni ya Marekani. Hayo mengine ya uchaguzi umekwenda umerudi ni porojo tu. Hawezi kukaza mazima wakati anapokuwa ana lobby mambo yake yapite...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    Tusisahau, wanatumia sana rushwa pia. Huyo Myemeni alitoa bilioni kumi mchana kweupe Mlimani City kuchangia kampeni ya Samia. Chochote anachotaka sasa hv anapata. Ukikataa kuondoa kodi ambayo hakubaliani nayo unaondoka wewe TRA. Samia alimfuta kazi kamishna wa TRA ambae alikataa rushwa...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Muungano wa Tanzania ni muungano wa watu zaidi kuliko serikali na sheria

    Ukweli ni kwamba huu Muungano ni wa kulazimisha! Ukiachiwa watu waamue kwa uhuru unavunjika hapo hapo. Kama ni kweli Muungano ni wa asili, una nguvu, una mizizi, unapendwa, KWA NINI MNAKAMATA NA KUFUNGA JELA MIAKA 10 MTU YEYOTE ANAESIMAMA KUSEMA MUUNGANO HAUFAI, NI MAUMIVU, TUUVUNJE ????
  6. A

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Muungano wa Tanzania ni muungano wa watu zaidi kuliko serikali na sheria

    Muongo mkubwa. Put that thing up on a referendum and lets see what happens! Kama mnajiamini. Kama hayo ni kweli , achieni tufanye kura huru ya muungano. Eff outta here you lying arse traitor.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Muziki waunganisha tamaduni katika shindano la kuimba kwa Kichina nchini Afrika Kusini

    AFRICANS don't have a brain God gave a monkey. They accept anything. The Chinese would never compete to sing or speak ni Zulu.
  8. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume ya Matukio ya Oktoba 29 inajitegemea kwa kila kitu, hatuna dalali

    Yani anadanganya wazi wazi anaposema hajawahi kukutana na Rais toka apewe kazi. Samia mwenyewe huwa anasema kwenye kazi za tume huwa wanampa drafti, na mara nyingine anawarudisha kwa kutofanya yale aliyowatuma. Isitoshe, kati ya wajumbe wa Tume wapo watu wa system, wanaripoti mubashara kila...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mzee amepigwa na kiharusi kikali, sijui kama atatoboa

    Taasisi yenyewe ime dizainiwa kuwa tegemezi kwa serikali. Hata jengo walijengewa. Inakosa independence dhidi ya serikali. Lakini pia Mzee huyu ana njaa binafsi, ametoka serikalini 1985. Ambapo hata Nyerere mwenyewe anakwambia hakuwa na pensheni, sembuse msaidizi. Mimi sitaki kusubiri mpaka afe...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mzee amepigwa na kiharusi kikali, sijui kama atatoboa

    Amepigwa pigo takatifu la Cardiovascular Accident. Ni mpwa na msaidizi wa Julius Kambarage toka miaka ya mwanzo ya nchi hii. Alikiri alichomewa nyumba yake akiwa amejificha nchini. Ambayo ni uongo, hakuwepo nchini na hakupiga kura. Alikuwa na mihadi na Kaguta siku ile kuhusu kumchangia hii...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    "Unaona kama ...." Yani huna uhakika! Huu ndio ujuha wa Watanganyika Haiko wazi kwamba alifanya kitu kibovu ??? Eti aliyumba. Hakuyumba, alivurunda, ali fack up big time ! Waliokosoa aliwatukana eti wana hoja za kipumbavu. Yeye ndio alofanya uamuzi wa kipumbavu katika historia ya dunia ya...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    "Wanasiasa wa Bara walikasirika." Walikasirika wakasemaje ? Mazoba na mazuzu ya uongozi Tanganyika yakakasirika, yanaumizwa na Muungano, toka lini ??? Umejuaje, umesikia wapi wamekasirika. Nani, Mtaje. Kwa mfano ? Katika wanasiasa wa bara maelfu kwa maelfu, mtaje mmoja, hata mstaafu...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu: Mahakama zisiendeshwe kwa Maelekezo

    Anaenda kinyume na mfumo, anaongea kama Simbachanwene aliyetumbiliwa. Samia is outraged. Ana hasira kali sana na huyu mtu Kumtoa hawezi. Samia alidhani anamjua vizuri na hatamgeuka wa saab siku za nyuma alishampaga kahongo ka kuwa Mwanasheria wa Ikulu. Masaju ana balls za kuongea hivi...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Rafu na faulo za Serikali Mahakamani leo. CCM imeharibu nchi, imeua hulka ya haki kabisa

    Sidhani kama unaweza kuwasilisha mara mbili. Waliwasilisha pale pale. Kama serikali wamedanganya itaoneka siku wakimpa mshtakiwa, nakala itasema ime failiwa lini. Au watakapofika mahakama ya Rufani, wataiona details zake. Na hukumu ya Rufaa itaeleza waliwasilisha lini. Kudanganya kwa pale...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Rafu na faulo za Serikali Mahakamani leo. CCM imeharibu nchi, imeua hulka ya haki kabisa

    Lakini mwisho wa siku nawalaumu wazee wangu wa zamani, baba zangu wa kunizaa kabisa, wakina marehemu Mzee Nyalali, Makame, Bahati, Mzava Mwakasendo, Mackanja, Mapigano, Warioba nk nk Toka zamani, mnamhukumu mtu kifo halafu hamumpi nakala ya hukumu. We mwanasheria wa wapi wewe, mbona justice...
Back
Top Bottom