Recent content by annetta

  1. A

    Kafulila: Muungano wa Tanzania ni muungano wa watu zaidi kuliko serikali na sheria

    Ukweli ni kwamba huu Muungano ni wa kulazimisha! Ukiachiwa watu waamue kwa uhuru unavunjika hapo hapo. Kama ni kweli Muungano ni wa asili, una nguvu, una mizizi, unapendwa, KWA NINI MNAKAMATA NA KUFUNGA JELA MIAKA 10 MTU YEYOTE ANAESIMAMA KUSEMA MUUNGANO HAUFAI, NI MAUMIVU, TUUVUNJE ????
  2. A

    Kafulila: Muungano wa Tanzania ni muungano wa watu zaidi kuliko serikali na sheria

    Muongo mkubwa. Put that thing up on a referendum and lets see what happens! Kama mnajiamini. Kama hayo ni kweli , achieni tufanye kura huru ya muungano. Eff outta here you lying arse traitor.
  3. A

    Muziki waunganisha tamaduni katika shindano la kuimba kwa Kichina nchini Afrika Kusini

    AFRICANS don't have a brain God gave a monkey. They accept anything. The Chinese would never compete to sing or speak ni Zulu.
  4. A

    PostGE2025 Jaji Chande: Tume ya Matukio ya Oktoba 29 inajitegemea kwa kila kitu, hatuna dalali

    Yani anadanganya wazi wazi anaposema hajawahi kukutana na Rais toka apewe kazi. Samia mwenyewe huwa anasema kwenye kazi za tume huwa wanampa drafti, na mara nyingine anawarudisha kwa kutofanya yale aliyowatuma. Isitoshe, kati ya wajumbe wa Tume wapo watu wa system, wanaripoti mubashara kila...
  5. A

    Tetesi: Mzee amepigwa na kiharusi kikali, sijui kama atatoboa

    Taasisi yenyewe ime dizainiwa kuwa tegemezi kwa serikali. Hata jengo walijengewa. Inakosa independence dhidi ya serikali. Lakini pia Mzee huyu ana njaa binafsi, ametoka serikalini 1985. Ambapo hata Nyerere mwenyewe anakwambia hakuwa na pensheni, sembuse msaidizi. Mimi sitaki kusubiri mpaka afe...
  6. A

    Tetesi: Mzee amepigwa na kiharusi kikali, sijui kama atatoboa

    Amepigwa pigo takatifu la Cardiovascular Accident. Ni mpwa na msaidizi wa Julius Kambarage toka miaka ya mwanzo ya nchi hii. Alikiri alichomewa nyumba yake akiwa amejificha nchini. Ambayo ni uongo, hakuwepo nchini na hakupiga kura. Alikuwa na mihadi na Kaguta siku ile kuhusu kumchangia hii...
  7. A

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    "Unaona kama ...." Yani huna uhakika! Huu ndio ujuha wa Watanganyika Haiko wazi kwamba alifanya kitu kibovu ??? Eti aliyumba. Hakuyumba, alivurunda, ali fack up big time ! Waliokosoa aliwatukana eti wana hoja za kipumbavu. Yeye ndio alofanya uamuzi wa kipumbavu katika historia ya dunia ya...
  8. A

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    "Wanasiasa wa Bara walikasirika." Walikasirika wakasemaje ? Mazoba na mazuzu ya uongozi Tanganyika yakakasirika, yanaumizwa na Muungano, toka lini ??? Umejuaje, umesikia wapi wamekasirika. Nani, Mtaje. Kwa mfano ? Katika wanasiasa wa bara maelfu kwa maelfu, mtaje mmoja, hata mstaafu...
  9. A

    Jaji Mkuu: Mahakama zisiendeshwe kwa Maelekezo

    Anaenda kinyume na mfumo, anaongea kama Simbachanwene aliyetumbiliwa. Samia is outraged. Ana hasira kali sana na huyu mtu Kumtoa hawezi. Samia alidhani anamjua vizuri na hatamgeuka wa saab siku za nyuma alishampaga kahongo ka kuwa Mwanasheria wa Ikulu. Masaju ana balls za kuongea hivi...
  10. A

    Rafu na faulo za Serikali Mahakamani leo. CCM imeharibu nchi, imeua hulka ya haki kabisa

    Sidhani kama unaweza kuwasilisha mara mbili. Waliwasilisha pale pale. Kama serikali wamedanganya itaoneka siku wakimpa mshtakiwa, nakala itasema ime failiwa lini. Au watakapofika mahakama ya Rufani, wataiona details zake. Na hukumu ya Rufaa itaeleza waliwasilisha lini. Kudanganya kwa pale...
  11. A

    Rafu na faulo za Serikali Mahakamani leo. CCM imeharibu nchi, imeua hulka ya haki kabisa

    Lakini mwisho wa siku nawalaumu wazee wangu wa zamani, baba zangu wa kunizaa kabisa, wakina marehemu Mzee Nyalali, Makame, Bahati, Mzava Mwakasendo, Mackanja, Mapigano, Warioba nk nk Toka zamani, mnamhukumu mtu kifo halafu hamumpi nakala ya hukumu. We mwanasheria wa wapi wewe, mbona justice...
  12. A

    Rafu na faulo za Serikali Mahakamani leo. CCM imeharibu nchi, imeua hulka ya haki kabisa

    Mhaini mshtakiwa akasema, haya, naombeni basi hiyo rufaa mliyoituma Mahakama ya Rufaa kwa mtandao sasa hivi tukiwa breki. Serikali ikajibu tutakupa ndani ya siku 14. Hivi, hata kama sheria inakupa siku 14 kumpa Mshtakiwa documents unazozitumia kutaka kumfunga, kumnyonga, Serikali si inasema...
  13. A

    Majibu ya Mange kwa Rais wa Afrika Kusini: Unaweza kuombea mkopo benki na riba ukapunguziwa

    Alianza Rubio, kakandya harakati za dunia kupinga ukoloni RUBIO MUNIC SECURITY SUMMIT FEB 14 The great Western empires had entered into terminal decline, accelerated by godless communist revolutions and by anti-colonial uprisings that would transform the world and drape the red hammer and...
  14. A

    Urusi yaifungia WhatsApp baada ya WhatsApp kushindwa kufuata sheria za nchi hiyo

    Simu hajaishitaki. Simu ikiisha chaji ina ukomo. Kashtaki ma Tik Tok na ma Insta na ma You Tube shorts. Kasema hayana ukomo. Ukianza ku scroll vi clip vinaweza ku scroll mpaka kesho jioni. Na kesi mahakamani katoboa. Sembuse wangemdukua wakati wameahidi hawadukuliki. Angewafilisi mahakamani...
  15. A

    Urusi yaifungia WhatsApp baada ya WhatsApp kushindwa kufuata sheria za nchi hiyo

    Ukiishitaki kampuni ya Ulaya kwamba jamani nimedukuliwa wakati tangazo lao linasema hawadukuliki, unalala kapuku unaamka dollar bilionea. Wana uhakika kwa sasa duniani hakuna tehama ya kudukua encryption. Kuna binti ameshinda mamilioni ya madola wiki iliyopita kwa kuzishtaki TIK TOK...
Back
Top Bottom