Fair point.
Lakini hawajafanya negotiation yeyote na CHADEMA.
Chini ya "siasa ngumu" za Lissu-Heche party leadership, hakuna vikao vya siri na agenda za siri zimafanyika popote.
Negotiation na beberu nazo hazijafanyika. Beberu huwa hana dogo, akimaliza tu diplomatic meeting waandishi...
Mke wa Lissu kuongea bunge la Ulaya nao ni muendelezo wa reputational damage on the world stage kwa Tanzania.
Lissu in prison is a bigger headache for the regime than out of prison.
Watakuwa wanahofia machawa wao watamdhuru akiwa nje, which wud be an astronomically bigger nightmare for the...
Sio akadhuriwa ili kumharibia. Yani akadhuriwa na henchmen wake yeye ili kumrahisishia kutawala.
Chawa wake, Polisi, KMKM, TISS, TISS-adjacents.
Na machawa huru wengine ambao hana control nao.
Clueless puppets mission to Tanzanian ndio kina nani yani ?
Yani hao puppets walioniteka akili ni puppets wa serikali, puppets wa beberu, puppets wa Mweyekiti? Puppets wa nani kwa mfano ?
Kazi ipo !
International relations nightmare wanayopitia kutoka kwa jumuiya ya kimataifa na public outrage nyumbani haijawahi kutokea tangu nchi iasisiwe.
Mabunge ya dunia yanawajadili, yanawapangia mikakati mikali ya kuwabana na kuwamaliza
Na sasa wanaguswa panapowaumiza kupita maelezo, wananyimwa...
Juzi tumeona Davido nyota wa mziki wa Nigeria aki protest jukwaani utekaji na mauaji ya raia nchini mwake. Ni kawaida kwa ma star wanaojielewa.
Kijana Pele akiwa na miaka 29 alishinda kombe la dunia mara ya tatu na ya mwisho. Mwaka unaofuata 1971 akastaafu mpira.
Baadae akaeleza akasema...
Hilo mbona alilisema mwenyewe ? Karume alikuwa tayari kuua Zanzibar tuwe nchi moja.
Nyerere akakataa, akalazimisha hiki kituko.
Zanzibar ilipaswa kubaki kivyake na Tanganyika kivyake kama Tanzania na Malawi au na Burundi.
Unaunganishaje nchi na kawilaya kamoja ???
That was a foolish move by...
Watanganyika hawaamini Nyerere anaweza kukosea.
Nyerere alituuza kwa bei ya jioni.
Haya, tumechinjwa barabarano kwa amri ya Mzanzibari.
Nyerere alisema muungano tukiuvunja tutachinjana Watanganyika.
Mbona ndani ya Muungano tumechinjwa majumbani kwa amri ya Mzanzibari ??????
Mwandishi na mhariri wa habari hii ni timu ya ma diot wakubwa, hawajui chochote cha uanahabari, masikini ya Mungu.
"Ingawa madai hayo bado hayajathibitishwa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama."
Habari imerushwa kwenda kwa Watanzania ikiwa na tahadhari nzito kwamba madai ya polisi kuua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.