Lakini mwisho wa siku nawalaumu wazee wangu wa zamani, baba zangu wa kunizaa kabisa, wakina marehemu Mzee Nyalali, Makame, Bahati, Mzava Mwakasendo, Mackanja, Mapigano, Warioba nk nk
Toka zamani, mnamhukumu mtu kifo halafu hamumpi nakala ya hukumu.
We mwanasheria wa wapi wewe, mbona justice...