Recent content by annetta

  1. A

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    "Unaona kama ...." Yani huna uhakika! Huu ndio ujuha wa Watanganyika Haiko wazi kwamba alifanya kitu kibovu ??? Eti aliyumba. Hakuyumba, alivurunda, ali fack up big time ! Waliokosoa aliwatukana eti wana hoja za kipumbavu. Yeye ndio alofanya uamuzi wa kipumbavu katika historia ya dunia ya...
  2. A

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    "Wanasiasa wa Bara walikasirika." Walikasirika wakasemaje ? Mazoba na mazuzu ya uongozi Tanganyika yakakasirika, yanaumizwa na Muungano, toka lini ??? Umejuaje, umesikia wapi wamekasirika. Nani, Mtaje. Kwa mfano ? Katika wanasiasa wa bara maelfu kwa maelfu, mtaje mmoja, hata mstaafu...
  3. A

    Jaji Mkuu: Mahakama zisiendeshwe kwa Maelekezo

    Anaenda kinyume na mfumo, anaongea kama Simbachanwene aliyetumbiliwa. Samia is outraged. Ana hasira kali sana na huyu mtu Kumtoa hawezi. Samia alidhani anamjua vizuri na hatamgeuka wa saab siku za nyuma alishampaga kahongo ka kuwa Mwanasheria wa Ikulu. Masaju ana balls za kuongea hivi...
  4. A

    Rafu na faulo za Serikali Mahakamani leo. CCM imeharibu nchi, imeua hulka ya haki kabisa

    Sidhani kama unaweza kuwasilisha mara mbili. Waliwasilisha pale pale. Kama serikali wamedanganya itaoneka siku wakimpa mshtakiwa, nakala itasema ime failiwa lini. Au watakapofika mahakama ya Rufani, wataiona details zake. Na hukumu ya Rufaa itaeleza waliwasilisha lini. Kudanganya kwa pale...
  5. A

    Rafu na faulo za Serikali Mahakamani leo. CCM imeharibu nchi, imeua hulka ya haki kabisa

    Lakini mwisho wa siku nawalaumu wazee wangu wa zamani, baba zangu wa kunizaa kabisa, wakina marehemu Mzee Nyalali, Makame, Bahati, Mzava Mwakasendo, Mackanja, Mapigano, Warioba nk nk Toka zamani, mnamhukumu mtu kifo halafu hamumpi nakala ya hukumu. We mwanasheria wa wapi wewe, mbona justice...
  6. A

    Rafu na faulo za Serikali Mahakamani leo. CCM imeharibu nchi, imeua hulka ya haki kabisa

    Mhaini mshtakiwa akasema, haya, naombeni basi hiyo rufaa mliyoituma Mahakama ya Rufaa kwa mtandao sasa hivi tukiwa breki. Serikali ikajibu tutakupa ndani ya siku 14. Hivi, hata kama sheria inakupa siku 14 kumpa Mshtakiwa documents unazozitumia kutaka kumfunga, kumnyonga, Serikali si inasema...
  7. A

    Majibu ya Mange kwa Rais wa Afrika Kusini: Unaweza kuombea mkopo benki na riba ukapunguziwa

    Alianza Rubio, kakandya harakati za dunia kupinga ukoloni RUBIO MUNIC SECURITY SUMMIT FEB 14 The great Western empires had entered into terminal decline, accelerated by godless communist revolutions and by anti-colonial uprisings that would transform the world and drape the red hammer and...
  8. A

    Urusi yaifungia WhatsApp baada ya WhatsApp kushindwa kufuata sheria za nchi hiyo

    Simu hajaishitaki. Simu ikiisha chaji ina ukomo. Kashtaki ma Tik Tok na ma Insta na ma You Tube shorts. Kasema hayana ukomo. Ukianza ku scroll vi clip vinaweza ku scroll mpaka kesho jioni. Na kesi mahakamani katoboa. Sembuse wangemdukua wakati wameahidi hawadukuliki. Angewafilisi mahakamani...
  9. A

    Urusi yaifungia WhatsApp baada ya WhatsApp kushindwa kufuata sheria za nchi hiyo

    Ukiishitaki kampuni ya Ulaya kwamba jamani nimedukuliwa wakati tangazo lao linasema hawadukuliki, unalala kapuku unaamka dollar bilionea. Wana uhakika kwa sasa duniani hakuna tehama ya kudukua encryption. Kuna binti ameshinda mamilioni ya madola wiki iliyopita kwa kuzishtaki TIK TOK...
  10. A

    Liberatus Mwang'ombe apokea wito Tume ya Kuchunguza Uvunjifu wa amani, awajibu

    Kwa nini adanganye kwamba sina nafasi ?????? Nafasi anayo! Hataki kudanganya. Ameandika maelezo ili kusudi tume isije kudanganya kwenye ripoti watakapoandika walimwita nani na nani na kwa nn walikataa. Mwang'ombe na kina Askofu Mwamakula na wote wanaokataa kwa maelezo kwa umma wanataka...
  11. A

    Liberatus Mwang'ombe apokea wito Tume ya Kuchunguza Uvunjifu wa amani, awajibu

    MJINGA NI WEWE ambae umekariri misemo kikasuku "usikatae wito, kataa unachoitiwa." Nani hajui wanaitiwa nini ? Kwa hiyo sababu ya pili ya ujinga wako ni kwamba nchi nzima inajua wanaitiwa nini PEKE YAKO HUJUI.
  12. A

    Kwanini Mkuu wa nchi anajificha (katua Private Aiport huko Dubai) ndege ATC B737 with registration number 5H-TCQ. Flight number TC 4401

    Basi mi nilidhani amepanda ATC iliyo kwenye ruti zake za kawaida commercial. Nchi iko kwenye budget crisis, mpaka inauza akiba za dhahabu, nchi ya maskini wafachu, dirt poor, Rais anasafiri na ndege private. Anachoma mafuta na maposho ya msafara. Ku maintain hadhi na umaridadi. Hajui...
  13. A

    PostGE2025 Nchimbi: Kuendelea kuzungumzia ya Oct 29 ni kutolitendea haki Taifa. Tayari Rais ameunda Tume

    Hakuna anaemtengenezea ugomvi na bosi wake. Naturally wana tofauti tayari. Yeye mwenyewe Nchimbi katamka: "YA RAIS NIMEMALIZA, HAYA HAPA KWENDA MBELE SASA HAYA NI YA KWANGU MIMI VICE PRESIDENT". Ndio akaanza kuwachana serikali wanaoongea shombo - Mmojawapo Mwigulu! Akijua fika kwamba bosi...
  14. A

    Hii mitihani ya kidato cha nne nowdays imekuwa soft sana au ni watoto wana-IQ kubwa?

    Yani serikali imeruhusu calculator halafu mwalimu wenu nyinyi akakataa , uongo wenyewe unaanzia hapo. Sasa ulikuwa unatumia nini, 4 figure table? Ndo maana hukumaliza paper ya hesabu. Halafu unasema ulipita mchujo wa watu 8,000. Wewe ndo among the best of the bunch, na paper zenyewe...
  15. A

    TANZIA Naibu Kamishna Mstaafu wa Polisi (DCP) Michael Kamuhanda Afariki Dunia

    Channel 10 si ndio Magu alisema ni ya CCM Kwa hiyo .Mwangosi alikuwa mwajirowa wa CCM ? Polisi akamtuhumu kuipendelea CHADEMA ? Na hilo bomu, bomu la machozi, bomu la kivita ??? Polisi huwa wanabeba mabomu ya kijeshi ya kivita ? Low information society. Kifo cha Mwangosi is a very well...
Back
Top Bottom