Ukweli ni kwamba huu Muungano ni wa kulazimisha!
Ukiachiwa watu waamue kwa uhuru unavunjika hapo hapo.
Kama ni kweli Muungano ni wa asili, una nguvu, una mizizi, unapendwa, KWA NINI MNAKAMATA NA KUFUNGA JELA MIAKA 10 MTU YEYOTE ANAESIMAMA KUSEMA MUUNGANO HAUFAI, NI MAUMIVU, TUUVUNJE ????
Muongo mkubwa.
Put that thing up on a referendum and lets see what happens!
Kama mnajiamini. Kama hayo ni kweli , achieni tufanye kura huru ya muungano.
Eff outta here you lying arse traitor.
Yani anadanganya wazi wazi anaposema hajawahi kukutana na Rais toka apewe kazi.
Samia mwenyewe huwa anasema kwenye kazi za tume huwa wanampa drafti, na mara nyingine anawarudisha kwa kutofanya yale aliyowatuma.
Isitoshe, kati ya wajumbe wa Tume wapo watu wa system, wanaripoti mubashara kila...
Taasisi yenyewe ime dizainiwa kuwa tegemezi kwa serikali. Hata jengo walijengewa.
Inakosa independence dhidi ya serikali. Lakini pia Mzee huyu ana njaa binafsi, ametoka serikalini 1985. Ambapo hata Nyerere mwenyewe anakwambia hakuwa na pensheni, sembuse msaidizi.
Mimi sitaki kusubiri mpaka afe...
Amepigwa pigo takatifu la Cardiovascular Accident.
Ni mpwa na msaidizi wa Julius Kambarage toka miaka ya mwanzo ya nchi hii.
Alikiri alichomewa nyumba yake akiwa amejificha nchini. Ambayo ni uongo, hakuwepo nchini na hakupiga kura. Alikuwa na mihadi na Kaguta siku ile kuhusu kumchangia hii...
"Unaona kama ...."
Yani huna uhakika!
Huu ndio ujuha wa Watanganyika
Haiko wazi kwamba alifanya
kitu kibovu ???
Eti aliyumba. Hakuyumba, alivurunda, ali fack up big time !
Waliokosoa aliwatukana eti wana hoja za kipumbavu. Yeye ndio alofanya uamuzi wa kipumbavu katika historia ya dunia ya...
"Wanasiasa wa Bara walikasirika."
Walikasirika wakasemaje ?
Mazoba na mazuzu ya uongozi Tanganyika yakakasirika, yanaumizwa na Muungano, toka lini ???
Umejuaje, umesikia wapi wamekasirika.
Nani, Mtaje. Kwa mfano ? Katika wanasiasa wa bara maelfu kwa maelfu, mtaje mmoja, hata mstaafu...
Anaenda kinyume na mfumo, anaongea kama Simbachanwene aliyetumbiliwa.
Samia is outraged.
Ana hasira kali sana na huyu mtu
Kumtoa hawezi.
Samia alidhani anamjua vizuri na hatamgeuka wa saab siku za nyuma alishampaga kahongo ka kuwa Mwanasheria wa Ikulu.
Masaju ana balls za kuongea hivi...
Sidhani kama unaweza kuwasilisha mara mbili. Waliwasilisha pale pale.
Kama serikali wamedanganya itaoneka siku wakimpa mshtakiwa, nakala itasema ime failiwa lini.
Au watakapofika mahakama ya Rufani, wataiona details zake.
Na hukumu ya Rufaa itaeleza waliwasilisha lini.
Kudanganya kwa pale...
Lakini mwisho wa siku nawalaumu wazee wangu wa zamani, baba zangu wa kunizaa kabisa, wakina marehemu Mzee Nyalali, Makame, Bahati, Mzava Mwakasendo, Mackanja, Mapigano, Warioba nk nk
Toka zamani, mnamhukumu mtu kifo halafu hamumpi nakala ya hukumu.
We mwanasheria wa wapi wewe, mbona justice...
Mhaini mshtakiwa akasema, haya, naombeni basi hiyo rufaa mliyoituma Mahakama ya Rufaa kwa mtandao sasa hivi tukiwa breki.
Serikali ikajibu tutakupa ndani ya siku 14.
Hivi, hata kama sheria inakupa siku 14 kumpa Mshtakiwa documents unazozitumia kutaka kumfunga, kumnyonga, Serikali si inasema...
Alianza Rubio, kakandya harakati za dunia kupinga ukoloni
RUBIO
MUNIC SECURITY SUMMIT
FEB 14
The great Western empires had entered into terminal decline, accelerated by godless communist revolutions and by anti-colonial uprisings that would transform the world and drape the red hammer and...
Simu hajaishitaki. Simu ikiisha chaji ina ukomo.
Kashtaki ma Tik Tok na ma Insta na ma You Tube shorts. Kasema hayana ukomo.
Ukianza ku scroll vi clip vinaweza ku scroll mpaka kesho jioni. Na kesi mahakamani katoboa.
Sembuse wangemdukua wakati wameahidi hawadukuliki. Angewafilisi mahakamani...
Ukiishitaki kampuni ya Ulaya kwamba jamani nimedukuliwa wakati tangazo lao linasema hawadukuliki, unalala kapuku unaamka dollar bilionea.
Wana uhakika kwa sasa duniani hakuna tehama ya kudukua encryption.
Kuna binti ameshinda mamilioni ya madola wiki iliyopita kwa kuzishtaki TIK TOK...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.