Eti anawaonea huruma bureaucrats aliowakuta.
Amejipa excuses ama visingizio dhaifu sana kueleza kwa nn mabadiliko yanakuja taratibu sana.
Yani maslahi ya Taifa unayaweka nyuma ya maslahi ya wachache, ambao wewe mwenyewe unasema hapo walipo hawafiti kabisa na ni irrelevant. Unasema ukiwatoa...
1. MKEMIA MKUU SIO SAKAYATRIST. Afya ya akili hupimwa na Sakayatrist.
2. MAMBAS 24 ana haki ya kukataa huduma ya kutibiwa akili.
Hospitali na zahanati zote nchini zina bango mlangoni kuuuuubwa, linasema UNARUHUSIWA KUONDOKA HAPA HOSPITALI ANY FREAKING TIME UKIONA HIZI HUDUMA NI UPUUZI MTUPU...
Ameuawa na kuporwa laki 3. Marehemu kaporwa !
Na wawili wameuliwa wakijaribu kuwakimbia polisi. Ukiwakimbia polisi wanaku shuti mgongoni !
Taarifa ni utopolo mtupu na ni uongo mtupu!
Kukosa logic ndio chanzo cha u third world wa Waafrika.
Polisi anaongea utopolo na mwandishi anaripoti...
Ndio hapo sasa...
Ni ni wapi umeona duniani mteuaji anamwambia mteule na wewe usije kuwa na akili za samaki ??
Kama we mwenyewe una wasi wasi kwamba hiki kijana kinaweza kuwa kina akili za samaki, kwa nini umetupachikia awe Vice President ????
So sad yani, the country is in the pits, big time...
Kwa hiyo, hizo tafsiri zako za maneno ya Samia hazi make sense.
Kama ambavyo maneno yenyewe ya Samia haya make sense.
Na huyo Karume aliyewaambia kwamba samaki akikua anapoteza akili amewalisha marine biology famba!
Dunia ya leo ya mapinduzi ya taarifa huwezi kuja kuongea nonsense hapa kama...
Kitu ambacho sio kweli, na haki make sense.
SAMAKI NI MNYAMA WA KIPEKEE AMBAE UBONGO WAKE UNAENDELEA KUKUA JINSI ANAVYOKUWA. Binadamu ubongo unakoma kukua around miaka 25 ya umri.
"A fish's brain abilities generally do not degrade as it grows. In fact, for most of their lives, the exact...
Nimesikiliza interview yote. Nikiwa very seriously curios kusikia watu wa CCM wenye ka rekodi ka kuwa na akili akili kidogo wanasemaje na haya yanayoendelea nchini, repression, mauaji nk. Nikagundua bado yuko primitive vibaya mno kama wenzie ndani ya CCM
Kasema tunapokosoa lazima tumlinde...
Kwenye vita.
Sasa pale walikuwa vitani ???
Na jeshini umefundishwa uue captured enermy ama mateka ambae umemdhibiti unamhoji maswali, hana silaha, hana alama ya uaskari wa adui, hana lolote ?
Na ni wapi jeshini au kwenye law enforcement wamefundisha kwamba suspected jangili au jambazi au...
Hapana, sio mada niliyoileta mimi.
Mimi niliandika:
HECHE KASEMA TUNANUNUA NGANO KUTOKA SAUDIA. WAKATI SAUDI HAWANA HATA MTO MMOJA. HIZO SIO AKILI, INI MATOPE.
NA KABLA YA HAPO ALISEMA HAWA VIONGOZI NI VICHAA. NA AKASEMA SAMIA FAHAMU HII NCHI SIO YA KUFAIDIKA WEWE NA ABDULI!
Moderator...
Huku sio kuudanganya umma jamani???
Yani unaokota the softest kipande cha speech ya mtu ndio unaripoti kwamba Heche kasema. Mengine mazito zaidi unafunika.
YANI UNATAKA TUBAKI GIZANI KAMA JAMII TUFICHWE WATU WANASEMA NINI, TUBAKI MA IDIOT, UNINFORMED, PRIMITIVES.
Shule gani ya habari...
Mama weeeee!!!!
Nimeenda nimerudi nimekuta topic imebadilishwa.... huu ni uwongo wa wazi wazi wa moderators wa jamvi hili
WAPI CHUO GANI HICHO MLIFUNDISHWA KULAINISHA NUKUU ZA MANENO YA MTU NDIO UANDISHI ?????
Heche hakusema hivyo na hii sio thread yangu, na sikuandika hivyo
HECHE KASEMA...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema Serikali ya CCM inaongozwa na watu waliokosa maarifa badala yake wamebaki kutishia wapinzani na kufungua mitandao ya kijamii.
Ameyasema hayo Agosti 12 katika maadhimisho ya vijana kimataifa yaliyofanywa na chama hicho jijini Dodoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.