Recent content by annetta

  1. A

    JamiiForums Tanzania Rais wa Botswana, Duma Boko: Unapoingia madarakani inaweza kukuchanganya na kukufanya ujione kama nusu-mungu

    Eti anawaonea huruma bureaucrats aliowakuta. Amejipa excuses ama visingizio dhaifu sana kueleza kwa nn mabadiliko yanakuja taratibu sana. Yani maslahi ya Taifa unayaweka nyuma ya maslahi ya wachache, ambao wewe mwenyewe unasema hapo walipo hawafiti kabisa na ni irrelevant. Unasema ukiwatoa...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Majambazi wapora fedha na kumuua wakala

    Unarudia tena kosa lile lile. Huwezi kumuua mtu halafu ukamuibia simu. Tunashindwa simple logic Waafrika masikini ya Mungu.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mkemia wa Waziri Katambi hana utaalam wa kutoa huduma ya afya ya akili kwa Mambas 24

    1. MKEMIA MKUU SIO SAKAYATRIST. Afya ya akili hupimwa na Sakayatrist. 2. MAMBAS 24 ana haki ya kukataa huduma ya kutibiwa akili. Hospitali na zahanati zote nchini zina bango mlangoni kuuuuubwa, linasema UNARUHUSIWA KUONDOKA HAPA HOSPITALI ANY FREAKING TIME UKIONA HIZI HUDUMA NI UPUUZI MTUPU...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Majambazi wapora fedha na kumuua wakala

    Ameuawa na kuporwa laki 3. Marehemu kaporwa ! Na wawili wameuliwa wakijaribu kuwakimbia polisi. Ukiwakimbia polisi wanaku shuti mgongoni ! Taarifa ni utopolo mtupu na ni uongo mtupu! Kukosa logic ndio chanzo cha u third world wa Waafrika. Polisi anaongea utopolo na mwandishi anaripoti...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ndejembi ukakue, sio mwili ila akili, usiwe Samaki

    Ndio hapo sasa... Ni ni wapi umeona duniani mteuaji anamwambia mteule na wewe usije kuwa na akili za samaki ?? Kama we mwenyewe una wasi wasi kwamba hiki kijana kinaweza kuwa kina akili za samaki, kwa nini umetupachikia awe Vice President ???? So sad yani, the country is in the pits, big time...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ndejembi ukakue, sio mwili ila akili, usiwe Samaki

    Kwa hiyo, hizo tafsiri zako za maneno ya Samia hazi make sense. Kama ambavyo maneno yenyewe ya Samia haya make sense. Na huyo Karume aliyewaambia kwamba samaki akikua anapoteza akili amewalisha marine biology famba! Dunia ya leo ya mapinduzi ya taarifa huwezi kuja kuongea nonsense hapa kama...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ndejembi ukakue, sio mwili ila akili, usiwe Samaki

    Kitu ambacho sio kweli, na haki make sense. SAMAKI NI MNYAMA WA KIPEKEE AMBAE UBONGO WAKE UNAENDELEA KUKUA JINSI ANAVYOKUWA. Binadamu ubongo unakoma kukua around miaka 25 ya umri. "A fish's brain abilities generally do not degrade as it grows. In fact, for most of their lives, the exact...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Waitara: Watanzania wanataka Katiba Mpya, na nguvu ya dola kupunguzwa

    Nimesikiliza interview yote. Nikiwa very seriously curios kusikia watu wa CCM wenye ka rekodi ka kuwa na akili akili kidogo wanasemaje na haya yanayoendelea nchini, repression, mauaji nk. Nikagundua bado yuko primitive vibaya mno kama wenzie ndani ya CCM Kasema tunapokosoa lazima tumlinde...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Kwenye vita. Sasa pale walikuwa vitani ??? Na jeshini umefundishwa uue captured enermy ama mateka ambae umemdhibiti unamhoji maswali, hana silaha, hana alama ya uaskari wa adui, hana lolote ? Na ni wapi jeshini au kwenye law enforcement wamefundisha kwamba suspected jangili au jambazi au...
  10. A

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Hapana, sio mada niliyoileta mimi. Mimi niliandika: HECHE KASEMA TUNANUNUA NGANO KUTOKA SAUDIA. WAKATI SAUDI HAWANA HATA MTO MMOJA. HIZO SIO AKILI, INI MATOPE. NA KABLA YA HAPO ALISEMA HAWA VIONGOZI NI VICHAA. NA AKASEMA SAMIA FAHAMU HII NCHI SIO YA KUFAIDIKA WEWE NA ABDULI! Moderator...
  11. A

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Huku sio kuudanganya umma jamani??? Yani unaokota the softest kipande cha speech ya mtu ndio unaripoti kwamba Heche kasema. Mengine mazito zaidi unafunika. YANI UNATAKA TUBAKI GIZANI KAMA JAMII TUFICHWE WATU WANASEMA NINI, TUBAKI MA IDIOT, UNINFORMED, PRIMITIVES. Shule gani ya habari...
  12. A

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Mama weeeee!!!! Nimeenda nimerudi nimekuta topic imebadilishwa.... huu ni uwongo wa wazi wazi wa moderators wa jamvi hili WAPI CHUO GANI HICHO MLIFUNDISHWA KULAINISHA NUKUU ZA MANENO YA MTU NDIO UANDISHI ????? Heche hakusema hivyo na hii sio thread yangu, na sikuandika hivyo HECHE KASEMA...
  13. A

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema Serikali ya CCM inaongozwa na watu waliokosa maarifa badala yake wamebaki kutishia wapinzani na kufungua mitandao ya kijamii. Ameyasema hayo Agosti 12 katika maadhimisho ya vijana kimataifa yaliyofanywa na chama hicho jijini Dodoma.
  14. A

    JamiiForums Tanzania John Heche: Mwaka jana tumenunua matani ya ngano Sll. Arabia, hawana hata mto mmoja. Tunaongozwa na akili za matope!

    John Heche leo Dodoma Tunaongozwa na watu wenye akili za matope Saudi ya jangwani hawana maji wanatuuzia ngano
  15. A

    JamiiForums Tanzania Mange adai anafuatiliwa na 'Watu wasiojulikana'

    Kama akiweza ni bora akahamia kwenye apartment complex zenye geti.
Back
Top Bottom