Recent content by annetta

  1. A

    JamiiForums Tanzania Mange adai anafuatiliwa na 'Watu wasiojulikana'

    Kama akiweza ni bora akahamia kwenye apartment complex zenye geti.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Anamshikilia ndani kumuepusha na wasiojulikana. Akidhuriwa Polepole-style itakuwa mbaya mara dufu, dunia haitakubali

    Fair point. Lakini hawajafanya negotiation yeyote na CHADEMA. Chini ya "siasa ngumu" za Lissu-Heche party leadership, hakuna vikao vya siri na agenda za siri zimafanyika popote. Negotiation na beberu nazo hazijafanyika. Beberu huwa hana dogo, akimaliza tu diplomatic meeting waandishi...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Anamshikilia ndani kumuepusha na wasiojulikana. Akidhuriwa Polepole-style itakuwa mbaya mara dufu, dunia haitakubali

    Mke wa Lissu kuongea bunge la Ulaya nao ni muendelezo wa reputational damage on the world stage kwa Tanzania. Lissu in prison is a bigger headache for the regime than out of prison. Watakuwa wanahofia machawa wao watamdhuru akiwa nje, which wud be an astronomically bigger nightmare for the...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Anamshikilia ndani kumuepusha na wasiojulikana. Akidhuriwa Polepole-style itakuwa mbaya mara dufu, dunia haitakubali

    Sio akadhuriwa ili kumharibia. Yani akadhuriwa na henchmen wake yeye ili kumrahisishia kutawala. Chawa wake, Polisi, KMKM, TISS, TISS-adjacents. Na machawa huru wengine ambao hana control nao.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Anamshikilia ndani kumuepusha na wasiojulikana. Akidhuriwa Polepole-style itakuwa mbaya mara dufu, dunia haitakubali

    Clueless puppets mission to Tanzanian ndio kina nani yani ? Yani hao puppets walioniteka akili ni puppets wa serikali, puppets wa beberu, puppets wa Mweyekiti? Puppets wa nani kwa mfano ? Kazi ipo !
  6. A

    JamiiForums Tanzania Anamshikilia ndani kumuepusha na wasiojulikana. Akidhuriwa Polepole-style itakuwa mbaya mara dufu, dunia haitakubali

    International relations nightmare wanayopitia kutoka kwa jumuiya ya kimataifa na public outrage nyumbani haijawahi kutokea tangu nchi iasisiwe. Mabunge ya dunia yanawajadili, yanawapangia mikakati mikali ya kuwabana na kuwamaliza Na sasa wanaguswa panapowaumiza kupita maelezo, wananyimwa...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Watu wa Mwanza wasivuruge Amani na kuleta taharuki ya maji yaliko jirani TU hapo ziwani tuwe wavumilivu Bora tuchote maji na madumu

    Watu wa Mwanza wamemsababishia taharuki nani, watu wa Kigoma ?
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kijana Pele alistaafu kucheza kombe la dunia na umri wa miaka 29 kupinga Udikteta wa Generali Medichi

    Wanatembea na misafara ya luxury cars na ma bodyguard kama Waziri Mkuu. Wanalipaje payroll na lifestyles kama hizi kama hawana hela ??
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kijana Pele alistaafu kucheza kombe la dunia na umri wa miaka 29 kupinga Udikteta wa Generali Medichi

    Juzi tumeona Davido nyota wa mziki wa Nigeria aki protest jukwaani utekaji na mauaji ya raia nchini mwake. Ni kawaida kwa ma star wanaojielewa. Kijana Pele akiwa na miaka 29 alishinda kombe la dunia mara ya tatu na ya mwisho. Mwaka unaofuata 1971 akastaafu mpira. Baadae akaeleza akasema...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Kihongosi na CCM achaneni kuwasingizia Chadema, angalieni muungano unavunjika. Sikia maneno ya sheikh

    Hilo mbona alilisema mwenyewe ? Karume alikuwa tayari kuua Zanzibar tuwe nchi moja. Nyerere akakataa, akalazimisha hiki kituko. Zanzibar ilipaswa kubaki kivyake na Tanganyika kivyake kama Tanzania na Malawi au na Burundi. Unaunganishaje nchi na kawilaya kamoja ??? That was a foolish move by...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Kihongosi na CCM achaneni kuwasingizia Chadema, angalieni muungano unavunjika. Sikia maneno ya sheikh

    Watanganyika hawaamini Nyerere anaweza kukosea. Nyerere alituuza kwa bei ya jioni. Haya, tumechinjwa barabarano kwa amri ya Mzanzibari. Nyerere alisema muungano tukiuvunja tutachinjana Watanganyika. Mbona ndani ya Muungano tumechinjwa majumbani kwa amri ya Mzanzibari ??????
  12. A

    JamiiForums Tanzania Ukweli wa Muswada wa Marekani kuhusu Tanzania Wazi!

    Muswada umeshaondoka Foreign Relations Committee ? Amendments zimefanyika wapi ?
  13. A

    JamiiForums Tanzania Moshi: Kijana wa bodaboda apoteza maisha baada kukimbizwa kugongwa na gari la Polisi akihisiwa kubeba mirungi

    Mwandishi na mhariri wa habari hii ni timu ya ma diot wakubwa, hawajui chochote cha uanahabari, masikini ya Mungu. "Ingawa madai hayo bado hayajathibitishwa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama." Habari imerushwa kwenda kwa Watanzania ikiwa na tahadhari nzito kwamba madai ya polisi kuua...
Back
Top Bottom