Hii kauli inanipa shida kidogo.Tutakuwa tunafanya sana kazi bila kujali malipo in kiasi gani.Na ukiuliza jibu hapa kazi tuu.Naomba ufafanuzi hapa.Kasi mpya nguvu mpya maisha bora kwa kila mtanzania ilituteka sana! Lakini yule jamaa alitudanganya kwamba ataongeza mishahara tulikuwa very attentive...
Safi mtoa hoja naona nidandie tu hapa.Yaaan kama mdau wa elimu hili suala litakugusa sana mchanganyiko flani hivi wakuu was shule Nazi wanayo January maana wazazi wameamini bure kwelikweli sasa suala LA ada tu linatoka wapi?yawezekana atatuma mihera kabla ya sh ule kufungua
Daaa aiseee namuombea Huyu raisi avunje mikataba ili tulipwe stahiki zetu kama pension na mifuko mingine yaani sio mbaya jamaaani muacheni tu.Tusijenge hoja za kumzuia maaana mikataba mibovu hajaiona mpaka sasa ila sisi watumishii tuu.Na yeye ndio kaanza kazi tangu hapo kazi zilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.