Wabongo niambieni hivi mtu akitazama mpira kwenye Smart TV ya 8K na yule anayetazama kwenye Arboder mwisho wa mchezo magori yanatofautiana au mmoja hawezi kumjua iyefunga goli? Mi naona picha ni macho yako tu nunua TV kutokana na pochi yako.
Wenzetu wako busy kuibadilisha magari yao kuondoa yenye mfumo wa combustion engine sisi serikali kuruhusu kila mkoa wawe na center ya kubadili kwenda kwenye CNG wanawaza ufisadi kwanza!
Mchungaji Msigwa unatafuta huruma toka CCM au kwetu Raia, mbona kama umepanic. Kama majibu ulikuwa nayo kwanini unaongelea CDM wakati ulishahama? Eneza sera za CCM tu siyo mipasho.
CCM ni sawa na Mama mwenye negative energy. Anauza mbuga na bandari kwa Mwarabu anatufukuza wazawa eti hatuli Tembo wala hatujawahi kupitisha shati Bandarini!
Msajili wa vyama Mh. Mutungi yuko makini sana hawezi kuruhusu chama kikaendesha SIASA pasipo kusajiliwa. Najua atajitokeza na hati ya usajili ya CCM ili amuumbue Tundu.
Hizi dalili za viongozi wa chama tawala kuanza kujitokeza hadharani ni kujisifia mbinu chafu na za kihaini wanazozitumia kwenye uchaguzi ni dalili mbaya kabisa. Hayo maneno Dalili hizi ambazo vyombo vya ulinzi na usalama hazisemi kama zinatishia uvunjifu wa amani, mwisho wa siku zitalitumbukiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.