Recent content by Anko Sam

  1. Anko Sam

    Polepole: Nipo Namibia, kila mtu anamuulizia Magufuli

    Kama hujui watanzania tunataka Rais wa namna gani, unastahili kupimwa mkojo! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Anko Sam

    Ufafanuzi wa Mapigo Kumi ya Wamisri!

    Kwa hiyo unataka kutuaminisha ile milima ya udongo mwekundu ili safishika ikawa mieupe. Au mvua hainyeshi tena katika milima yenye udongo mwekundu? Maana tungesikiaga hilo tukio likijirudia pindi mvua zinyeshapo kwenye milima ile. Ulicho andika ni sawa na Theory ya binaadamu alianza kama nyani...
  3. Anko Sam

    USAHIHI: Kilichotokea kati ya Juliana Shonza na Wabunge wa Upinzani kwenye viwanja vya Bunge, Dodoma

    Unashangaa vijana kumshughulikia kijana mwenzao..!! Wewe ulivyowashughulikia akina Halima ndani ya Bunge, wenyewe ni wazee!!! Jifunze heshima kwa watu wote.
  4. Anko Sam

    Mkuu wa wilaya Ilemela aachia ngazi

    Ni mwendo wa double standard tu mpaka tushike adabu!!
  5. Anko Sam

    Charles Mwijage: Nina watoto hii kazi naipenda

    Akiwa kwenye ofisi ya umma ana ziona fursa nyingi tu za kujiajiri, akifukuzwa humo fursa zinapotea ana anza kulialia. Asiogope mbona wengine tupo kitaa tu miaka mingi??!! Aje ajiajiri na yeye.
  6. Anko Sam

    Salum Mwalimu: Kuugua na kulazwa ghafla kwa Mhe. John Heche

    Hakuna ugonjwa wa Mungu, magonjwa yote ni ya Shetani na mawakala wake hao wanaotumia "utamaduni" na "vitu vyenye ncha kali"
  7. Anko Sam

    Mtifuano wa CHADEMA vs ACT ubunge wa EALA, Lissu awaambia ACT wasitumiwe na CCM

    Kwani hizo sheria zilizowekwa zinazokipa CCM nafasi 6, CDM nafasi 2 na CUF nafasi 1 ziliwekwa na nani? Je walioziweka waliziweka wakiwa na akili timamu au walikuwa wamelewa bange na viroba? Kwanini wasiendelee kuziheshimu kwa kuzifuata mpaka wazibadilishe sasa? Je wanataka wazibadilishe kwa...
  8. Anko Sam

    Kuna kitu hakiendi sawa: Mkuu anapambana na umma?

    Muislamu gani unaye msema? Imeandikwa akikosa kabisa chochote cha kula anaruhusiwa kula. Chezeya njaa weye!!
  9. Anko Sam

    Mapapa 560 wa Madawa ya Kulevya watajwa. Wamo Morine Amatus Liyumba na mdogo wa Rostam Aziz

    Hili nalo ni jipu lililokaa sehemu mbaya, kulitumbua linahitaji usiwe na tamaa, unaweza kupewa ukapata kigugumizi cha kutaja majina.
  10. Anko Sam

    Yaliyojiri Kibandamaiti: Mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CUF Jumatano Septemba 09, 2015

    Fafanua Mkuu nikuone wa maana. Nijuavyo mimi Chenge kila dili chafu yumo, tuhuma ya RADAR ilisababisha Bunge la UK lijadili na kuiamuru Kampuni ile iludishe pesa yote ambayo nayo haijawekwa wazi iko wapi labda Membe atatwambia siku moja. Lowassa hajawahi kujadiliwa kimataifa na mitambo ya...
  11. Anko Sam

    Katibu Mkuu wa CHADEMA anapolindwa na walinzi wa Kanisa!

    Kama si upotoshaji wa makusudi basi inawezekana akili za baadhi ya watu humu haziweki kumbukumbu sawasawa au zina matatizo ya kusahau haraka sana. Askofu Gwajima alisema, "...kwenye nyumba ya Dr. Slaa kuna walinzi wa chama (wanaolipwa na CDM), lakini bado Dr. Slaa alihitaji walinzi waaminifu...
  12. Anko Sam

    Gwajima Kitanzini, Viongozi wa dini wamshukia kama mwewe

    Padre Dr. Slaa aliposema kuhusu ushenga wa Bishop Josephat Gwajima, magamba yalishangilia kwa vifijo, ndelemo na vigeregere. Askofu Josephat alipojibu na ukweli kujulikana. Magamba yanatoa povu kutaka kutumia vyombo vya dola kudhibiti uhuru wa kujieleza. Kama wanaCCM wangekuwa waungwana...
  13. Anko Sam

    Mh. John Magufuli asababisha Kimbunga uwanja wa Jamhuri Morogoro Mjini

    Heri tutawaliwe na fisadi mmoja wa kufikirika kuliko kuendelea kutawaliwa na CHAMA CHA MAFISADI miaka na miaka.
  14. Anko Sam

    Maajabu ya Musa: Miaka 51 ya Kenya, Miaka 54 ya Tanzania

    Flyover ni permanebt solution for all users but BRT ni very temporary and not friendly user for all. Kwanza ajali zitakuwa za kumwaga kwa jinsi barabara zetu zilivyo nyembamba. Foleni za magari zitakuwa palepale kwani kusubiri mabasi ya mradi kupita itakuwa hapa na pale.
Back
Top Bottom