Aisee kiukweli inaumiza sana.
Kinachoniumiza ni kwamba wakati naenda undergraduate miaka hiyo, niliomba mass comm udsm, ila nikashawishiwa na familia nibadili, kwaio nikachaguliwa kozi nisiyoipenda nikaamua kupiga tu ilimradi tu nimalize, sikuweka juhudi kabisa.
Anyway makosa yalikua yangu...
Habari wakuu, naombeni msaada wa haraka kwa ufafanuzi au ushauri.
Nimekua na passion ya kuja kufundisha vyuo vikuu kwa muda sasa, lakini kuna jambo linanitatiza hapa.
Undergraduate nilisoma Human Resources Management (GPA 3.2) Naomba izingatie hii GPA. Kozi hii haikuwa passion yangu, nilisoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.