Recent content by Anko Elly

  1. Anko Elly

    Wachoraji wazuri wa Tattoo Dar es salaam wa bei nafuu

    Habari zenu wadau wa jukwaa hili, naulizia wachoraji wazuri wa Tattoo ambao bei zao ni nafuu pia. Kama utakuwa na namba zao tafadhali nitumie
  2. Anko Elly

    Msaada kuhusu sony home theatre system na RAM

    Asante sana Mkuu kwa ufafanuzi huu na kunipa mwangaza katika hili. Kwaiyo nikienda kununua niwambie nataka core i3/core i5 ya 7th Generation sio watanielewa? Mwisho kabisa mfano nikienda kununua kwenye yale Maduka ya Used Laptop yaliyopo pale kariakoo Uhuru sio mbaya?
  3. Anko Elly

    Msaada kuhusu sony home theatre system na RAM

    Sasa hizi za core i3 si zitakuwa na uwezo mdogo mkuu ukilinganisha na hii yangu ya zamani yenye corei5? Nauliza lakini
  4. Anko Elly

    Msaada kuhusu sony home theatre system na RAM

    Asante Sana Mkuu... Sasa unanishauri ninunue laptop gani ya kisasa ambazo bei zke ni nafuu
  5. Anko Elly

    Msaada kuhusu sony home theatre system na RAM

    Habari za asubuhi The Great Thinker wa jukwaa hili adhimu la Teknolojia. Matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri katika suala zima la upambanaji. Kilichonileta leo kwenye hili jukwaa ni mambo mawili, Mosi ni kuhitaji msaada wa kueleweshwa kuhusiana na Sony Home Theatre System na...
  6. Anko Elly

    Gamers:- imagine you had this setup...!!!!

    Kapicha tuwekee mkuu
  7. Anko Elly

    MSAADA JUU YA UKUBWA WA GRAPHIC CARD YANGU

    Ndio maana nikijaribu kucheza games kama Euro Truck inakuwa haina speed kiivyo, nimejaribu kucheki size ya Graphic Card nimeona ni 2GB na ushee hivi. Sasa ndugu natakiwa nifanyaje ili niweze kufanyeje? Je, naweza kubadilisha hii Graphic Card nikaweka ambayo itakuwa compatible kwa ajili ya games?
  8. Anko Elly

    MSAADA JUU YA UKUBWA WA GRAPHIC CARD YANGU

    Penye wengi daima pana mengi, nimekuwa mfuatiliaji wa mada zinazoendelea kwenye jukwaa hili la Teknolojia hasa ukizingatia kadri siku zinavyozidi kwenda basi na teknolojia nayo inazidi kushika hatamu. Nisingependa kuwachosha Great Thinker wenzangu bali nimekuja kuomba kupatiwa ufafanuzi juu ya...
  9. Anko Elly

    Video games ambazo mpaka sasa nimeshacheza

    Euro Truck Simulator imecheza mpk level ya ngapi?
  10. Anko Elly

    Msaada wa king'amuzi cha DSTV na startimes

    Hapana mkuu siko kwa ajili ya kuringishia bali nahitaji kujifunza na kufahamu zaidi
  11. Anko Elly

    Msaada wa king'amuzi cha DSTV na startimes

    Asante sana mkuu kwa msaada
  12. Anko Elly

    Msaada wa king'amuzi cha DSTV na startimes

    Wajuvi wa mambo ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea kulisongesha gurudumu la maisha. Binafsi namshukuru Mwenyezi Mungu kuwa ni mzima na naendelea vizuri pamoja na familia yangu. Penye wengi kuna mengi, nahitaji kufahamu kwamba kama naweza kufunga ving'amuzi viwili(2) yaani Startimes...
  13. Anko Elly

    Natafuta wapi nitapata wanauza viatu vya kazini vizuri

    Hamjambo wakuu, bila kupoteza muda nahitaji kujua wapi nitapata duka linalouza hizi Staff Moka za kisasa nilizoambatanisha picha zake hapo chini. Zingatie bei iwe nafuu na sio bei zile za Mlimani City, Mayfair, au Msasani mall. Kama kuna mtu anauza kwa bei nafuu anifate INBOX sasa hivi. Budget...
  14. Anko Elly

    Nifahamisheni bei za CCTV camera kwa matumizi ya majumbani

    Nitakucheki mkuu..Sema Budget yangu ni Millioni Moja
Back
Top Bottom