Recent content by ankali

  1. A

    Je, Katiba mbovu ya nchi imeanza kuwageukia wenyewe CCM?

    Mungu katupa huyu JPM Mr prsnt kikubwa tumuombee maana wanazidi kuisoma no nchi hii inahela nyingi sana ila majizi machache ndio yalikua yananufaika na kwa mwendo huu katiba ya Jaji Warioba itarudishwa
  2. A

    Hivi Waziri Mkuu anaweza kumwamuru IGP kumkamata mtu?

    Jiulize kwa nn Makonda alimwamuru RPC wa kinondon akamate wale maafisa
  3. A

    TANESCO, mgao huu una sababu gani tena?

    Tanesco na nyinyiem mwisho 20 october mzee wa maamuzi magumu akiingia madarakan
  4. A

    Upende usipende Zitto Waziri mkuu awamu ijayo

    Labda waziri Mkuu wa Kigoma
  5. A

    Lowassa: Tutachukua nchi asubuhi

    Mpendwa na wanamabadiliko mpendwa na wana ccm Edward Ngoyai Lowasa ndio rais mpya wa tz
  6. A

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Hata kama angekua muislam angeenda msikitini angesema naomben kura zenu waislam wenzangu
  7. A

    Nani unapenda awe rais wako kati ya hawa?

    Edward Ngoyai Lowasa
  8. A

    Kususa kwa Dk. Slaa: Mtumbwi wa kisiasa wa CHADEMA unazama?

    Hajapunguza kitu bali mapinduzi yapo pale pale
  9. A

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Hata wafanye nn mafuriko hayazuiliki
  10. A

    Mgombea Ubunge Sikonge, Said Nkumba (CHADEMA) arejea rasmi CCM

    Nape atatuambia tena kua kuna oil chafu au kapi limerudi nyumban
  11. A

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Mpumbavu ni yeye,aliekua na wazir Mkuu wake miaka kumi leo kaondoka nani mpumbavu kama sio yule aliempendekeza miaka yote kumi
  12. A

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Wenzio wameanza kukusanya kila kilicho chao maana safar imewadia kwaheri ccm na mambo yenu yote.Mlisema tutaisoma namba ila nyie ndio mmeisoma namba
  13. A

    Askari shupavu akifa, mapambano hayakomi

    Mapambano yanaendelea
  14. A

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Juzi kamkumbatia Lowasa leo anajiuzuru yote ni uroho Wa madaraka ila titafika tu babu nae aamue haraka ili tujipange upya
  15. A

    Lowassa kutangazwa Jumanne kuwa mgombea Urais

    Hayawi hayawi sasa yamekua ni kuvua gamba na kuvaa gwanda
Back
Top Bottom