Recent content by anjela simon

  1. A

    Huyu Lowassa si mtu wa kawaida, sasa nimeamini

    Huna lolote wew!huko ccm kwako hamna mafisadi?
  2. A

    Lowassa sentensi nzito "Kumbukumbu" vijana tuko na wewe mpaka Ikulu

    Demokrasiaaa!mwaka huu vituko watu wanachachawa!peopleeees
  3. A

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    Utafiti ni ndani ya sanduku la kura tuu.wasitudanganye
  4. A

    UKAWA ni Rafiki ya hawa wafuatao

    Ata kama angekuwa rafiki Wa bilgets nin rostam!mbona hamhoji escrow vip?waliokula walikuwa maskini??
  5. A

    Kinachomponza Lowassa

    Si heri huyu anayesema atafufua viwanda na mengineyo kuliko anayerudia matapishi?ashindwe miaka kumi then Leo aweze?ndoto hizo.peopleeeees tuamke
  6. A

    Kinachomponza Lowassa

    Kabla ya kujibu msikurupuke yan.mlitaka awaambieje?awanunulie roho za spea?
  7. A

    Ni dakika 5 za Lowassa

    Ata awe na wheelchair kura tutampaaaa!!!lowasaaa
  8. A

    Vikwazo na Maajabu ya Lowassa! Jiulize kwanini?

    Yeees!!mabadilikooo!lazima mwaka huuu
  9. A

    Lowassa: Sitategemea wahisani kuendesha serikali

    Tatizo watanzania hatupendi kuthubutu!tatizo elimu hamna.ndo maana kila kitu tunaona hakiwezekani kanone usipotoshe watuuu
  10. A

    Mwigulu: Lowassa anajua atashindwa, ameanza kuandaa watu kisaikolojia

    Mwendo ule ule mabadiliko yanawezekanaaaaa!!peopleees
  11. A

    Updates kutoka Uwanja wa Mashujaa Mtwara: Mkutano wa Kampeni za mgombea Urais CCM

    Hahaaa!Magufuli anaweza akawa mwajibikaji!ila unafikiri ataenda kinyume na mfumo Wa chama?????peopleees mabadiliko tunayahitaji ili tuane upyaaa
Back
Top Bottom