Why Chadema all the time kati ya vyama zaidi ya vitano vikubwa? Mbowe! Mbowe! Mbowe! Mbowe! Wakati viongozi wa vyama mbali mbali vy siasa including Nyerere walikaa madarakani miaka mingi wakijenga vyama including CCM. CCM bila Nyerere kukaa nayo kwa.zaidi ya miaka 20 ingekuwa imekufa leo. So...
Dr. Slaa ni mtu mzuri aliyeshaushiwa na shetani kama ilivyokuwa kwa Adamu na Hawa!
Tumsamehe tu bali kitabu chake msikisome kwani kina uwongo mwingi wa kisisiem! Tangu aingie huko anachokisema hakieleweki tena! Mwacheni babu huyo!
Nadhani alitoa message kwa watawala wake pia aliposema kuwa tourists 100 walivunja safari in protest ya human rights abuses kwa kusikia watu au mtu akilalamika. That was a strong message to our leaders!
Baba wa taifa hakuwa Mungu. Alikuwa binadamu! Yeye mwenyewe alikiri kuwa alifanya makosa mengi. Kila mtu anaweza kukosolewa. Baba wa taifa tutamsifu mpaka kesho kwa wema asili mia 99% aliotufanyia, hakuwa mwizi, alipenda amani, alitenda kazi kubwa wakati kulikuwa na ujinga nwingi, maradhi mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.