Gharama ya mwezi unatakiwa Kuanza kulipa kila mwezi hiyo ni constant,,,(labda uamue kulipia Deni lako lote kwa pamoja Ni ruksa pia).
Mizinga 10 kwa kawaida kwa sababu kwenye mashamba haya Kuna wataalamu kazi yao Ni kuhakikisha nyuki wanaingia kwa muda mfupi kwa kutumia njia za asili ama njia ya...
FUNYUKI Ni ufupisho wa neno FUga NYUki KIbiashara, mradi huu unaotekelezwa na kampuni ya TANZANIA INTERNATIONAL BEE yenye makao yake Dar es salaam ni mradi mkubwa wenye subtitle ya "The beekeeping hub of Africa"
Mradi una malengo makuu mawili:
1. Beekeeping transformation from local/primitive...
FUNYUKI Ni ufupisho wa neno FUga NYUki KIbiashara, mradi huu unaotekelezwa na kampuni ya TANZANIA INTERNATIONAL BEE yenye makao yake Dar es salaam ni mradi mkubwa wenye subtitle ya "The beekeeping hub of Africa"
Mradi una malengo makuu mawili:
1. Beekeeping transformation from local/primitive...
Kwenda ni kesho tunakutana asubuhi saa mbili nanusu uwe umefika mwenge mataa. Lakini piga 0762936519 ili kujiandikisha majina yako namba za simu na mahali unapotokea.
Langstroth ina 10 frame ni 150,000/=. Ndiyo kwenda site unachangia shilingi elfu 10 ya nauli kwenda na kurudi lakini kama unausafiri wako hautochangia chochote.
Samahani kwa kuchelewa kukujibu. Mafunzo ni wiki 3 na gharama ni laki moja. Kwa maelezo zaidi tupigie simu 0744344488 na 0762936519 au fika ofisini kwetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.