Jamani mjihadhari sana VC wa chuo hicho cha TIU anayejiita "Dr" Mnzava ni tapeli hata DECI alikuwemo.
Wafanyakazi wote alioanza nao wamemkimbia baada yakumvumilia muda mrefu toka March 2013 baada ya kugundua kuwa wanafunzi wanalipaada naye anazitumia ovyo kwa mambo yake binafsi bila kujali...
Chuo hicho kinachoongozwa na jamaa ajiitaye "Dr" Samwel Mnzava ni tapeli aliyepindukia. Kipo Kimara Mwisho ukielekea barabara ya Bonyokwa.
1. Anatumia lugha nzuri kuwavutia watu kujiunga na chuo chake wakishafika anachukua ada zao na kuzibinafsisha. Kuwalipa walimu kwake mwiko. Mwezi ukiisha...
Jamani wana jamii jihadhalini. Hiki chuo cha Kimara wmisho kinajitagaza kwa nguvu zote ili kuwashawishi watu kujiunga ila ukweli ni kwamba anayekiendesha chuo hicho akijiita "Dr" Samweli Mathias Mnzava ni tapeli wa kutupa kwa wanaomfahamu vizuri hata DECI alikuwemo ila kiujanja alichomoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.