Recent content by Anetth

  1. Anetth

    Vipodozi Bidhaa Inayopendwa Na Watu, Tushughulike Na Wanunuaji

    Jua linawaunguza ila hawaachi kutumia, unafikiri hawajui madhara yake, ni sawa na sigara imeandikwa kabisa uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako lakini mtu bado ananunua na anatumia
  2. Anetth

    Yaliyonikuta baada ya kumsaidia rafiki yangu mwenye degree

    Yani mtu anakudokolea pesa ila bado unamuendekeza tu, siku ungekuta amesafisha geto zima zingekukaa sawa
  3. Anetth

    Ushauri: Rais Samia apumzike Urais 2025

    Mimi mtazamo wangu ni CCM ipumzike tu asee maana ndio washauri wa mama
  4. Anetth

    Vituo vya Yatima (Orphanages) ni biashara ya utumwa

    Kutumia maneno ya watoto wa zinaa/uasherati sidhani kama ni kauli nzuri,
  5. Anetth

    Adhabu mbadala wa viboko kwa watoto na wanafunzi wetu

    Shida ni huo muda wa kumchunga asiende kucheza, ila viboko ukimchapa vinne vya maana unaendelea na kazi zako bila kumuazia mtoto
  6. Anetth

    Picha: Magufuli kawang'ang'ania

    Asubirie atamchagua tu siku ikifika
  7. Anetth

    Udikteta umeiharibu sana Africa, demokrasia ndio chaguo sahihi lililobaki kujaribu

    Shida ya waafrika wengi tunaamini tunaamini tunayofanya ni sahihi na hakuna anayeweza kuyafanya na ndio maana tukipata nafasi tunaing'ang'ania
  8. Anetth

    Kwanini Mungu hakumuua Shetani? Kuna haja sasa ya kuwepo na Bibilia ya Shetani?

    kuna maswali mengine ukitafuta majibu yake utajikuta unakufuru
Back
Top Bottom