Recent content by Andrue

  1. A

    Jengo la Usalama wa Taifa Urusi lapigwa bomu na drone ya Ukraine

    Usiombe Urusi kutumia nyuklia bro, nakuhakikishia hakuna mbuzi yyte atakae pata ujasiri wa kurusha Nyuklia Urusi, sema kelele za kuionea huruma Ukrein zitakuwa nyingi, lakini nakuhakikishia hakuna na wala hakuna atakaepata ujasiri wa kuipiga Urusi Nyuklia eti kisa ni kuisaidia Ukrein, wazungu...
  2. A

    Toa ushauri kwa kocha wa Simba timu iwaje.

    Mdogo mdogo kocha anaanza kubadilika, Angalau ameanza kupanga kikosi kinachoeleweka, lkn pia anawapa nafasi na wengine kucheza ktk gemu ambazo zinaonekana hazina changamoto kubwa.
  3. A

    Tupia utabiri wako kuelekea weekend ya Kimataifa kwa Simba & Yanga zilizopo ugenini

    Power daynamo 0 Simba 2 na kule kigali ni 1-1
  4. A

    Serikali ya Brazil yashindwa kumhakikishia Putini dhidi ya waranti ya ICC

    Putin anaweza kwenda popote pale na hakuna mbuzi yeyote mwenye ubavu wa kumkamata.
  5. A

    FT: Algeria 0-0 Tanzania | AFCON Qualifier | Tanzania yafuzu AFCON

    Sisi tutafungwa, na Uganda pia atafungwa, mwisho wa siku Tanzania itafuzu mashindano
  6. A

    TV Imaan: Maaskofu wa Kanisa Katoliki siyo Wazalendo, MoU ya Kanisa ilitoa Masharti Serikal isijenge Shule wala Hospital zilipo huduma zao kama Hizo!

    TEC walikosea sana kutoa ule waraka, ona sasa haya mengine sisi wala tulikuwa hatuyajui.
  7. A

    Askofu Profesa Victor Chisanga kaambiwa na Mwenyezi Mungu asitii mamlaka kwenye swala na bandari bali ampinge Rais

    Mungu yupi alompa maelekezo hayo, mwambie atulie Nchi inaendeshwa kwa sheria, alee watoto wake vizuri asijepata matatizo.
  8. A

    Waraka wa TEC wajadiliwa TV IMAAN

    Tatizo lako humjui nani muislam na nani sio muislamu bwashee, waislam hawali kiti moto, kiti moto kula ww unenepe.
  9. A

    Robertinho ni kocha mzuri sana ila anapigishwa shoti na wale walioondolewa benchi la ufundi ili warudishwe

    Kwani ni nani alokuambia kwamba wachezaji waliosajiliwa wote wanacheza namba moja (winga) sema tu kocha ana mahaba niue na wachezaji anaowataka yeye, wachezaji wote 5 waliosajilwa mara hii wanaweza kuwemo uwanjani kwa wakati mmoja kwasababu uwezo wao hauna shaka, lakini kutegemea uifunge...
  10. A

    Kuna sababu gani hizi Timu za Zanzibar kucheza mashindano ya CAF?

    Hahaha, watanzania tuna burudan sie, yaani mtu anatoa mifano utadhan kwamba timu za tanzania bara zimeshafikia kiwango cha timu za ulaya, wakati hakuna kikombe chochote cha kimataifa kilichowahi kuchukuliwa na timu zetu pamoja na National team. Ninachojua mm Tanzania ipo katika kundi...
  11. A

    "Simba hatuna kocha" asema Mayor mstaafu Boniface Jacob

    Aambiwe kocha tumesajili wachezaji wazuri tu kwaajili ya kuwatumia sio kuwaweka bench, wanaweza kucheza namba tofauti.
  12. A

    Robertinho hawezi kufika Nyerere Day kama kocha wa Simba kwa aina hii ya soka

    Wachezaji wote waliosajiliwa kwa fedha chungu nzima ndio kweli hawana uwezo wa kuwaweka bench kibu, Saido na John boko. Kocha hatufai anashindwa kuzitumia resources tulizonazo
  13. A

    Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

    Kama ni kweli basi jeshi la polisi wamefanya jambo jema kwa usalama wake, haiwezekani mtu akautumia vibaya umaarufu wake kueneza propaganda na chuki dhidi ya serikali na kile asichokiamini yeye.
  14. A

    Dkt Slaa atoa wito kwa Viongozi wa dini zote na madhehebu yote na wananchi wote kwa ujumla kuhudhuria mkutano mkubwa wa kujadili hatma ya bandari zetu

    Ndio naona, asijeenda kupandikiza chuki tu, ninachoona mm viongoz wa hiyo dini ya faiza fox hawatoweza kuhudhuria mjadala huo wakijua fika kwamba alieandaa huo mjadala ni muumin mkubwa wa kile kitab cha Alif lelaUlela. Hivyo najiuliza anaenda kuwahubiria nani, au kueneza chuki tu kwa wasomi...
Back
Top Bottom