Recent content by andrewk

  1. andrewk

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaitaka Tanzania kupinga kitendo cha Urusi kutumia kemikali za sumu

    Kwenye mahusiano ya kimataifa kila MTU ana Uhuru wake
  2. andrewk

    JamiiForums Tanzania The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.

    Nadhani tuna tatizo mahali, iko master plan ya railway ya east Africa sijui kama bado iko kwenye mipango ya utekelezaji
  3. andrewk

    JamiiForums Tanzania PANAMA: Balozi wa Marekani nchini Panama ajiuzulu asema hawezi kumtumikia Trump

    Binadamu tinatofautiana sana
  4. andrewk

    JamiiForums Tanzania Hatma ya Jerusalem: Tanzania yapingana na Trump UN

    Kwanini tuwe neutral! Nchi INA maamuzi yake, tena nadhani Trump aliharibu zaidi alipotishia kuzinyima misaada
  5. andrewk

    JamiiForums Tanzania Hatma ya Jerusalem: Tanzania yapingana na Trump UN

    Tanzania ni nchi INA maamuzi yake
  6. andrewk

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa TTCL na Bharti Airtel: Airtel yauza Minara 1,350 kinyemela

    Multinational companies huwa ni shida kama hamjipangi vyema ndani
  7. andrewk

    JamiiForums Tanzania CCM yateua Wagombea Ubunge: Monko Joseph(Singida Kaskazini), Damas Ndumbaro(Songea Mjini) na Stephen Kiruswa (Longido)

    Aliyegombea sio balozi, ni mdogo wa dr nchimbi
  8. andrewk

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Njombe umetajwa kuongoza kuwa na asilimia 11.4 ya watu wanaishi na virusi vya UKIMWI

    Baridi mkuu na wagaeni wengi pale
  9. andrewk

    JamiiForums Tanzania Clouds 360: TRA wamelipwa kodi zote magari 44 aliyokamata Waziri Mkuu kinachodaiwa ni storage ya TPA tu!

    Hapo ndipo nchi inapochafuliwa, na hao wafanya biashara wanatumia connection zao hadi ndani ya nyumba
  10. andrewk

    JamiiForums Tanzania Clouds 360: TRA wamelipwa kodi zote magari 44 aliyokamata Waziri Mkuu kinachodaiwa ni storage ya TPA tu!

    Waziri mkuu alizungumzia pia ujanja wa kulipa 30% kwa mnunuzi na kisha kuingia mitini, hilo wamelizungimzia?
  11. andrewk

    JamiiForums Tanzania Let's share: Uliwahi kusaidiwa na mtu usiyemfahamu kabla (msamaria mwema)? Kipi kilitokea?

    Wengini ni huku mabarabani, ukikuta mwenzako anatatizo simama japo kumsikiliza tu.....
  12. andrewk

    JamiiForums Tanzania Basi gani zikitoka Mwanza zinafika Dar bila kulala Morogoro?

    Fastjet, atcl na precision, kwa mabasi hakuna na 50! Zilizopo
  13. andrewk

    JamiiForums Tanzania Video fupi ikionesha kiwanda kinavyotengeneza hela Uswiss

    Mkuu swala LA kutengeneza hela sio kila nchi inafanya kivyake, suala LA security kwenye noti ni kitu muhinu sana..... Historically hao jamaa wa uswis wamekuwa wakifanya kazi hiyo muda mrefu sana na ndio maana sehemu kubwa ya uchumi wao hugegemea vitu kama hivyo na utengenezaji wa saa
  14. andrewk

    JamiiForums Tanzania Ajali Morogoro: Magari mawili yagongana uso kwa uso na kupelekea vifo vya watu wanne

    Nimepna hayo magari, nadhani wa fuso alila akamfuata mwenzake, in kwenye mteremko karibu na kona ya mzumbe
  15. andrewk

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mtangazaji Violet Mzindakaya amefariki

    Pole sana ndugu na jamaa wa karibi na watanzania walijuwa wanamfahamu
Back
Top Bottom