CCM yateua Wagombea Ubunge: Monko Joseph(Singida Kaskazini), Damas Ndumbaro(Songea Mjini) na Stephen Kiruswa (Longido)

Kamati Kuu ya CCM imeteua wagombea ubunge katika majimbo matatu kama ifuatavyo; Monko Joseph (Singida Kaskazini), Damas Ndumbaro (Songea Mjini) na Stephen Kiruswa (Longido).

View attachment 651911


My Take;

Rais alisema sasa ni muda wa kazi tu. Nchimbi, Kimbisa na Sophia Simba mlisema mumewasamehe.

Kama tunavyojua Nchimbi ndo alishinda Kura za Maoni. Kwanini mumekata jina lake. CCM acheni kulipiza visasi.

Uchaguzi ushaisha na sote tunajenga nchi moja.

Hili swala limenisikitisha sababu si la kozalendo. CCM ubaguzi wenu hautawaacha salama.

Pale Dodoma Mlitangaza kwamba mumewasamehe wote waliomuunga mkono Lowassa, na Nchimbi alitubu hadi akakaribishwa Ikulu.

Kama ndivyo Nape Nnauye, Hussein Bashe wajiandae Kisaikolojoa 2020. Hawatapita sababu ya kuongea ukweli na kwenda kinyume na CCM.

Bashe alilalamika bungeni kwamba watu wasiojulikana wanamfuatilia.

Nakumbuka Bashe na Msukuma waliwekwa Korokoroni kisa wanahoji pale CCM inapokosea.

Hii mbaya sana kuongoza kwa visasi.
Nchimbi ni barozi anaiwakilsha nchi, kama sikosei ni Brazil
 
Kamati Kuu ya CCM imeteua wagombea ubunge katika majimbo matatu kama ifuatavyo; Monko Joseph (Singida Kaskazini), Damas Ndumbaro (Songea Mjini) na Stephen Kiruswa (Longido).

View attachment 651911


My Take;

Rais alisema sasa ni muda wa kazi tu. Nchimbi, Kimbisa na Sophia Simba mlisema mumewasamehe.

Kama tunavyojua Nchimbi ndo alishinda Kura za Maoni. Kwanini mumekata jina lake. CCM acheni kulipiza visasi.

Uchaguzi ushaisha na sote tunajenga nchi moja.

Hili swala limenisikitisha sababu si la kozalendo. CCM ubaguzi wenu hautawaacha salama.

Pale Dodoma Mlitangaza kwamba mumewasamehe wote waliomuunga mkono Lowassa, na Nchimbi alitubu hadi akakaribishwa Ikulu.

Kama ndivyo Nape Nnauye, Hussein Bashe wajiandae Kisaikolojoa 2020. Hawatapita sababu ya kuongea ukweli na kwenda kinyume na CCM.

Bashe alilalamika bungeni kwamba watu wasiojulikana wanamfuatilia.

Nakumbuka Bashe na Msukuma waliwekwa Korokoroni kisa wanahoji pale CCM inapokosea.

Hii mbaya sana kuongoza kwa visasi.


Nchimbi aliye gombea na kushinda ni John na sio Emmanuel
 
Kamati Kuu ya CCM imeteua wagombea ubunge katika majimbo matatu kama ifuatavyo; Monko Joseph (Singida Kaskazini), Damas Ndumbaro (Songea Mjini) na Stephen Kiruswa (Longido).

View attachment 651911


My Take;

Rais alisema sasa ni muda wa kazi tu. Nchimbi, Kimbisa na Sophia Simba mlisema mumewasamehe.

Kama tunavyojua Nchimbi ndo alishinda Kura za Maoni. Kwanini mumekata jina lake. CCM acheni kulipiza visasi.

Uchaguzi ushaisha na sote tunajenga nchi moja.

Hili swala limenisikitisha sababu si la kozalendo. CCM ubaguzi wenu hautawaacha salama.

Pale Dodoma Mlitangaza kwamba mumewasamehe wote waliomuunga mkono Lowassa, na Nchimbi alitubu hadi akakaribishwa Ikulu.

Kama ndivyo Nape Nnauye, Hussein Bashe wajiandae Kisaikolojoa 2020. Hawatapita sababu ya kuongea ukweli na kwenda kinyume na CCM.

Bashe alilalamika bungeni kwamba watu wasiojulikana wanamfuatilia.

Nakumbuka Bashe na Msukuma waliwekwa Korokoroni kisa wanahoji pale CCM inapokosea.

Hii mbaya sana kuongoza kwa visasi.
Nchimbi ni balozi huko Braziliniii
 
Upinzani wa ndani ya chama ni mtamu! Wakimaliza manunuzi nje, yataendelea ndani hahahahah viwanda vya manunuzi
 
Chama cha demokrasia kipo si uende!?!!! Kile ni chama cha mapinduzi, vipi hujui kusoma au??? Mkiguswa sehemu zenu si kupiga kelele huko, tulieni wanaume wamalize haja
 
Mtoa post, wewe kama ni CCM hauko vizuri ktk kufuatilia chama chako na matukio yake. Nchimbi anayezungumziwa hapa si huyo unayedai alisamehewa. Nchimbi aliyesamehewa ni yule ambaye kwa sasa ni balozi huko Brazil.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom