whose ruthless tactics against their enemies when they are threatened are legendary-
and extends to the families of those seeking to do them harm that they have no problem at all in killing.
The importance of noting the now private ultra- elite Russia special forces troops protecting President-elect Trump and his family, is that many of them were trained by the Committee for State Security (KGB)
President-elect Trump is brutally fighting against these "Deep State" CIA- led forces trying to destroy him-
who has surrounded himself with one of the most feared private mercenary forces ever known that includes at least 370 ultra- elite Russian military trained special forces.
(It gets better)
Donald Trump atakapoapishwa,akishusha tu mkono walinzi wote wa Ikulu wataachishwa kazi ya kumlinda.
Donald Trump anakuja na walinzi wake,among them 1000 Russians or russian- trained private security agents.
Kwa mini rais wa Marekani alindwe na Warusi nashindwa kuelewa..
Wakati wa ile kampeni...
Ndio matatizo ya maneno ya vitisho.
Rais akiwa pale katika jukwaa akisema watu fulani siku zao zinahesabika, haongei na wewe. Anatoa maagizo kwa vyombo vya usalama.
Na yule mtu alieandika posting kusema Zitto siku zake zinahesabika,aondoe neno" rais" katika posting zake.. Hii haina maana. Mbunge gani anaongea na kuondoa neno " rais" katika msamiati wake?
Maneno anayosema Zitto kwamba anataka kupeleka Bungeni mswada binafsi hoja ya kutokuwa na imani na rais;Zitto anakuwa mtu ambaye he had gone too far.
Hata utawala wa Kikwete ulianza na ukame na njaa.
Ukienda mtaani ukiwapa watu hela, nani atakuzuia?
Lowassa na Mbowe wakiamua kukupa hela utakubali mtu ajitokeze aserme yeye ni baba yako na kwamba hajaruhusu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.