Recent content by andimile mwambona

  1. A

    tofauti ya dalili za tuber culosis(TB) na UKIMWI

    ni swali u mdau,,pengine tofauti yake ni ndogo sana
  2. A

    tofauti ya dalili za tuber culosis(TB) na UKIMWI

    habari wana JF. ni matumaini yangu wote tu wazima wa afya,ni jambo la kumshukuru mungu,, naomba kuuliza tofauti iliyopo kati ya dalili za ugonjwa wa kifua kikuu na ugonjwa wa Ukimwi,,,yaani dalili za awali mara tu baada ya mgonjwa kuambulizwa ugonjwa
  3. A

    one night stand!!!!!

    samahani wapendwa ,kuna kijana nimemwachia pc kwa muda nikasahau kulog out,kaingia na kufanya utundu wake,,,samahani don't concentrate on what is written here,,,,
  4. A

    Nahitaji mwenza - mume

    naomba tuwasiliane
  5. A

    one night stand!!!!!

    wapendwa samahani,,hii mada kuna mtu aliirusha bila ya mimi kujua,,hivyo naomba tusameheane kwa mambo kama haya,,tafadhali
  6. A

    mwanamke ambaye yuko tayri kuwa na mahusiano na hata kufunga ndoa,,

    hahahah wapendwa hamuuziki?sio kila anaeandika huwa anajua anachofanya,,by the wayhaya ni maisha ya mtu na kila mtu ana lake jambo kwenye mtandao,,basi fanya jambo ambalo roho yako yapenda ufanye
  7. A

    Police Central (Dar) inaungua mida hii

    duh siku hizi kila kona ni mioto,,kweli kutakua na amani kweli,,au ndo visasi kwa visasi
  8. A

    Sala ya kuiombea Tanzania dini zote

    jamani mungu atusaidie tumedumu kwa amani muda mrefu Tanzania lakini kwa sasa nchi inakoelekea ni kubaya hebu tufikirie kizazi kijacho mambo yatakuaje kama kwa sasa hali ni hii,,kweli kuna uhaja wa mtu kufariki ati kisa mabishano ya kuchinja vitoweo?tusitake kuibomoa nchi yetu kwa mambo ambayo...
  9. A

    mwanamke ambaye yuko tayri kuwa na mahusiano na hata kufunga ndoa,,

    jina langu ni andimile mwambona ni myakyusa wa kyela,,natafuta mwanamke ambaye yuko tayar kuwa na uhusiano na hata ikiwezekana tuwe mtu na mume.
Back
Top Bottom