Recent content by andazi

  1. A

    JamiiForums Tanzania How wenzangu munaweza ku control wanawake katika ndoa zenu nipeni mbinu

    Watoto ndo shida Baba nikisitisha watoto wangu ndo watateseka
  2. A

    JamiiForums Tanzania How wenzangu munaweza ku control wanawake katika ndoa zenu nipeni mbinu

    Moja kati ya jambo ambalo najiulizaga How Hawa wanaume wenzangu wanafikia Level za kutesa wake Zao au kuwa control na wengine wanashindwa kabisa na matukio ya wanaume wanaamua kwenda kwao Wanafanya fanyaje 😀😃😄 maana Mimi mwezenu tayari nimedandia mtungi wa vibwengo Nimeona Kamada wa jeshi (😀😃)...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kumbe ni kweli ulimi wako unaweza kuwa laana kwako ukiutumia vibaya

    Kumbe kinachosema watu kuwa ulimi wako unaweza kuwa laana kwako ni kweli. Kuna dada mmoja hapo nyuma aliachana na mume wake baada ya kufungua kibiashara chake ambacho kilikuwa kinamuingizia pesa. Dada uyo alimchafua mume wake kwa kumtukana mpaka kwenye mitandao ya kijamii TikTok uko akishauria...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Hali hii sijui kama ninayo mimi peke yangu au wengine wanayo ?

    Nilivyoona comment yako hali hii nimeipata kabisa sijui itakuwa lini kwako 😃
  5. A

    JamiiForums Tanzania Hali hii sijui kama ninayo mimi peke yangu au wengine wanayo ?

    Katika mazingira tofauti na watu tofauti ninakuwa na hali ambayo nikikutana na mtu yeyote ambaye siku zake za kuishi sio nyingi tena duniani hata kama ni mzima wa afya kuna hisia fulani au kuna namna fulani ambayo ubongo wangu unakuwa unatafsiri mtu uyo sijui kama ninaweza kuelezea vipi ila...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu baada ya kunifumania

    Nitaongea nini na mtu ambaye tayari ananionyesha tabia ya kuwa yupo tayari kwa chochote
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu baada ya kunifumania

    Nimemwambia asichukuwe mwanamke wa bongo fleva kumleta ndani ya ndoa Mwanamke hajawahi kuwa na kizuri kwake bali utembea tu na hisia zake sio kwamba ukimrizisha au kumfikisha kileleni ndo atakupenda sana .inawezekana ila akumbuke kunakuchokana pia
  8. A

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu baada ya kunifumania

    Ukioa utasahu maneno haya , usichukulie mwanamke wa kwenye Bongo fleva ndo mwanamke wa ndoa
  9. A

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na mke wangu baada ya kunifumania

    Nafikiria kuachana na mke wangu baada ya yeye kufanikia kuona sms zangu Ambazo nilikuwa naandikiana na dada poa. Ananilaumu sana wakati chanzo ni yeye ambaye amekuwa akitumia tendo la ndoa kama njia ya kunidhibiti kihisia. Na kibaya zaidi mimi kama mwanaume sina haki ya kuomba tendo kwake ...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Kuendelea kuwa masikini katika karne hii nikujitakia wenyewe

    Hakuna cha kuinama tu ndugu yangu
  11. A

    JamiiForums Tanzania Kuendelea kuwa masikini katika karne hii nikujitakia wenyewe

    Nashangaa sana kuona vijana wengi tunaendelea kuwa maskini katika Karne hii ambayo imejaa fursa kibao just imagine watu kama kiboko ya wachawi , na manabii kibao Akina chif godlove wanatajirika kwa ujinga ujinga tu akina mwijaku na wengine wengi kibao alafu kuna akina sisi ambao tunaendelea...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Ni bora vita vya Iran na Israel na Marekani vimeisha tumepumzika

    Kila nikikumbuka kelele za watu fulani katika vita kati ya Israel, USA na Iran, nakosa raha. Duniani kuna watu wabishi, tulipigiwa kelele kuwa Netanyahu kafa, sijui waziri wake wa ulinzi kafa, mkuu wa majeshi kafa. Tukaenda mbali zaidi kutumiwa video za AI kibao Sasa hivi wameshinda vita...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Trump asitisha shambulio zito dhidi ya Iran dakika za mwisho! Vita kusitishwa kwa Wiki mbili. Nini kinaendelea na nani Mshindi?

    Unaweza kunitumia link iyo ambayo viongozi wa israel waliongea kuhusu ilo au
  14. A

    JamiiForums Tanzania Trump asitisha shambulio zito dhidi ya Iran dakika za mwisho! Vita kusitishwa kwa Wiki mbili. Nini kinaendelea na nani Mshindi?

    Sioni kumalizika kwa vita hapo kwanini nasema ivi israel hawezi kamwe kuruhusu ilo kwasababu kumalizika kwa vita hivi bila yeye kujihakikishia usalama wake ni bora abaki anapigana peke yake kuliko kuacha iran ikiwa bado inasimama
  15. A

    JamiiForums Tanzania Haiwezi kutokea hata kidogo urusi ,china , na korea kuingiza raia wao katika vita vya nuclia kisa iran

    Kuna watu wana comment kwa post hii kuwa usa akimpiga iran kwa nuclia sijui urusi, china , korea zitajibu Thubutu hakiwezi kutokea icho zaidi sana ni malalamiko urusi ,china na korea watalaumu usa sio kumshambulia maana katika hawa hakuna ambaye atakuwa tayari kupoteza raia wao pia kwasababu...
Back
Top Bottom