Kutokana na mambo mengi ambayo yanatokea duniani kuhusu wanawake
Mda mwingine hivi vitabu vya dini tunavitukana lakini ukichunguza vizuri vilikuwa vina haki ya kuwanyima uhuru hawa viumbe na hata mababu zetu walivyokuwa wana watenga yaani kuwashusha kabisa thamani yao walikuwa wana haki...
Je, umewahi kujiuliza kama kuna kiongozi yeyote wa nchi za NATO anaonyesha ubabe mbele ya Trump? wanafikiri haiwezekani, lakini ukweli ni kwamba yupo ni Mark Carney, Waziri Mkuu wa Canada.
Baada ya Justin Trudeau kujiuzulu mwaka 2025, Wacanada walimchagua Mark Carney kutokana na uzoefu wake...
Kuna wakati nataka kuamini Mungu hayupo lakini kuna maswali ambayo najiulizaga mpaka leo sijawahi kupata majibu yake
1 Sayansi inasema ulimwengu ulianza (Big Bang) Kabla ya hapo hakukuwa na dunia, jua wala muda kama tunavyoujua. Swali ni hili kama ulimwengu ulianza, nani au nini kilianzisha...
Muhenga aliyesema shukrani ya punda ni mateke kuna uwezekano alikuwa anaongelea wanawake 😀😃😀😃
Just imagine mwanamke unapambana kumtongoza mwisho unampata baada ya kumpata unajitambulisha kwao kama mume mtarajiwa baada ya hapo unaweka mahari.
Angalia sana sasa una mtoa kwao na kumpeleka kwako...
Je unajua AKILI ndiyo kiunganishi kikubwa kati ya kile
Tunachoamini (imani/Roho)
Kile tunachofikiria ( akili)
Na kile tunachofanya ( mwili)
Namna unavyofikiria huathiri maamuzi na maamuzi huunda maisha
Tambuwa akili ni kama radio inaweza kupokea mawazo mazuri na mabaya
ILa tambua...
Siri ya mafanikio yako ni maamuzi tu basi usidanganywe sijui connection. Sijui freemason sijui nini. Hayo yote yanatokea baada ya kuchukua maamuzi tu. Wewe jaribu kuchukua maamuzi kwa kile unachokifikiria katika kichwa chako uone kama hizo connection na mengine hayotokufuata yenyewe.
Asanteni...
Unachokisema ni ukweli tabia hizi nilianza kuziona mwanzo mwanzo kipindi cha ujauzito wake
Nilikuwa nashindwa kumfokea au kumuonyesha reaction yeyote yaukali
Kwasababu moja ya silaha kubwa ambayo alikuwa anatumia kipindi iki ni machozi yake kibaya tabia hii ilikuwa mpaka sasa leo nakula matunda...
Ninaishi na mke wangu na kwasasa ndoa yetu ina miaka 3 lakini moja ya changamoto ya ndoa yetu ni tabia ya mke wangu.
Uyu mwananke ana asira kibaya ni kuwa yeye hajuagi kabisa kudhiti asira yake na mara zote akiwa ana asira ninayeteseka ni mimi.
Maana anaweza kuokota chochote na kunirushia au...
Kuna maswali ambayo najiuliza
Mwanzo na mwisho ndugu yangu tulikutana mwanza
Alivyofika nairobi ndugu zake na mke wake
Sasa familia yangu wamenitenga
Dar es salam ndiko mke wangu anaishi
Mimi nipo uku morogoro kutafuta dawa
Atapata bus nikasema hapana ilo ni swali lake
Sasa tupo hapa...
Mama yupo nyumbani hajaolewa baba ni mtu wa fix sana anafanyaga mambo kama hana akili sana yeye alikuwa ni mtu wa mademu mara nyimgi wanaume sisi tukiwa na michepuko yetu hatuwezi kudharau mke wa kwanza au wetu kwasababu ya mchepuko sasa ni tofauti kabisa akiwa na mchepuko anapenda kuoa kabisa...
Huwezi kunielewa hata ungekuwa mtakatifu husingeweza kuishi naye hata kidogo
Kama umesoma historia vizuri toka tuko afrika alikuwa ni mtu wa wanawake tu hakujali watoto wake wanakula sisi most of our life uko afrika yalibebwa na mama yetu
Tulivyofika uku canada 2017 tukafikiri atageuka tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.