Recent content by andazi

  1. A

    Sasa hivi kuishi na mwanamke imekuwa kama ugonjwa wa kansa kwetu wanaume

    Wewe unakataa vipi ndoa sasa hivi ukikataa jamii inakuona kama ndoa ni wewe mwenyewe yaani unaliwa wewe
  2. A

    Sasa hivi kuishi na mwanamke imekuwa kama ugonjwa wa kansa kwetu wanaume

    Kutokana na mambo mengi ambayo yanatokea duniani kuhusu wanawake Mda mwingine hivi vitabu vya dini tunavitukana lakini ukichunguza vizuri vilikuwa vina haki ya kuwanyima uhuru hawa viumbe na hata mababu zetu walivyokuwa wana watenga yaani kuwashusha kabisa thamani yao walikuwa wana haki...
  3. A

    Uyu ndo Mark caney mbabe wa trump

    Je, umewahi kujiuliza kama kuna kiongozi yeyote wa nchi za NATO anaonyesha ubabe mbele ya Trump? wanafikiri haiwezekani, lakini ukweli ni kwamba yupo ni Mark Carney, Waziri Mkuu wa Canada. Baada ya Justin Trudeau kujiuzulu mwaka 2025, Wacanada walimchagua Mark Carney kutokana na uzoefu wake...
  4. A

    Kuna wakati sitaki kuamini uwepo wa Mungu lakini maswali haya yananichanganya sana

    Kuna wakati nataka kuamini Mungu hayupo lakini kuna maswali ambayo najiulizaga mpaka leo sijawahi kupata majibu yake 1 Sayansi inasema ulimwengu ulianza (Big Bang) Kabla ya hapo hakukuwa na dunia, jua wala muda kama tunavyoujua. Swali ni hili kama ulimwengu ulianza, nani au nini kilianzisha...
  5. A

    Hakuna watu wa ovyo kama wakosoa imani za wengine hapa JF

    Ukijifanya unashika sana dini kuna baadhi ya seli za akili yako zitakuponyoka Asanteni tumpende Mungu na kutafakari kwa akili njia zake
  6. A

    Huyu ndio mwanamke

    Muhenga aliyesema shukrani ya punda ni mateke kuna uwezekano alikuwa anaongelea wanawake 😀😃😀😃 Just imagine mwanamke unapambana kumtongoza mwisho unampata baada ya kumpata unajitambulisha kwao kama mume mtarajiwa baada ya hapo unaweka mahari. Angalia sana sasa una mtoa kwao na kumpeleka kwako...
  7. A

    Je unajua mambo haya ?😀😃😄

    Je unajua AKILI ndiyo kiunganishi kikubwa kati ya kile Tunachoamini (imani/Roho) Kile tunachofikiria ( akili) Na kile tunachofanya ( mwili) Namna unavyofikiria huathiri maamuzi na maamuzi huunda maisha Tambuwa akili ni kama radio inaweza kupokea mawazo mazuri na mabaya ILa tambua...
  8. A

    Je unajua siri hii kuhusu mafanikio

    Siri ya mafanikio yako ni maamuzi tu basi usidanganywe sijui connection. Sijui freemason sijui nini. Hayo yote yanatokea baada ya kuchukua maamuzi tu. Wewe jaribu kuchukua maamuzi kwa kile unachokifikiria katika kichwa chako uone kama hizo connection na mengine hayotokufuata yenyewe. Asanteni...
  9. A

    Unawezaje kuishi na mwanamke wa namna hii?

    Unachokisema ni ukweli tabia hizi nilianza kuziona mwanzo mwanzo kipindi cha ujauzito wake Nilikuwa nashindwa kumfokea au kumuonyesha reaction yeyote yaukali Kwasababu moja ya silaha kubwa ambayo alikuwa anatumia kipindi iki ni machozi yake kibaya tabia hii ilikuwa mpaka sasa leo nakula matunda...
  10. A

    Unawezaje kuishi na mwanamke wa namna hii?

    Ninaishi na mke wangu na kwasasa ndoa yetu ina miaka 3 lakini moja ya changamoto ya ndoa yetu ni tabia ya mke wangu. Uyu mwananke ana asira kibaya ni kuwa yeye hajuagi kabisa kudhiti asira yake na mara zote akiwa ana asira ninayeteseka ni mimi. Maana anaweza kuokota chochote na kunirushia au...
  11. A

    Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu

    Kuna maswali ambayo najiuliza Mwanzo na mwisho ndugu yangu tulikutana mwanza Alivyofika nairobi ndugu zake na mke wake Sasa familia yangu wamenitenga Dar es salam ndiko mke wangu anaishi Mimi nipo uku morogoro kutafuta dawa Atapata bus nikasema hapana ilo ni swali lake Sasa tupo hapa...
  12. A

    Marekani wamewashambulia "magaidi" wa Nigeria

    Jidanganye kijana hakuna asiyeogopa kifo crusade waliaminishwa ivo ivo mwisho.wao ulikuwa mbaya kwa iyo hakuna asiye ongopa kifo
  13. A

    Naomba ushauri wenu

    Mama yupo nyumbani hajaolewa baba ni mtu wa fix sana anafanyaga mambo kama hana akili sana yeye alikuwa ni mtu wa mademu mara nyimgi wanaume sisi tukiwa na michepuko yetu hatuwezi kudharau mke wa kwanza au wetu kwasababu ya mchepuko sasa ni tofauti kabisa akiwa na mchepuko anapenda kuoa kabisa...
  14. A

    Naomba ushauri wenu

    Huwezi kunielewa hata ungekuwa mtakatifu husingeweza kuishi naye hata kidogo Kama umesoma historia vizuri toka tuko afrika alikuwa ni mtu wa wanawake tu hakujali watoto wake wanakula sisi most of our life uko afrika yalibebwa na mama yetu Tulivyofika uku canada 2017 tukafikiri atageuka tena...
Back
Top Bottom