Mwenye sifa zifuatazo awe mwa adventista msabato..awe mrefu kiasi..rangi yoyote umri 18 hadi 22...elimu awe amemaliza vidato sita na kuendelea....mcheshi...na mwenye kujari...kabila lolote awe na upendo wa kweli....kwa maelezo zaidi anaweza kunitumia sms kwa namba hizi 0752237407
nifanye nini ili niache kupiga punyeto? jamani mimi ni mvulana 26 miaka nimeanza kupiga nyeto tangu kidato cha tatu hadi sasa nipo chuo najaribu kuacha nashindwa pia nakosa kujiamini napotaka kumtokea mwanamke ninayempenda zaidi ya kumpigia nyeto ukweli sina grl friendy until dis tym na...
halafu mbona waheshimiwa kule mjengonii wanashindwa kuongea kingereza kabisa kama unakumbuka kipindi wanawania wawakilishi wa bunge la east africa.walivyokuwa wanajiumauma ebu tujiulize tatizo ni nini! halafu mkumbuke kuwa kuna watu ni wazuri kwenye kingereza cha kuandika lakini kuongea tatizo.
halafu watu wengi wanadhani kuwa polisi wanaelimu ya chini..wanadai kimbilio la waliofeli form four ni ualimu na upolisi sio kweli jeshini sasa kuna watu wamekwenda shule kwani jeshi la sasa ni tofauti na zamani jeshi la polisi la sasa nilaueledi.usasa.na polisi jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.