Habari wana jukwaa,
Jina langu naitwa VOLDER BN BYJUKA. Mimi ni Freelancer Journalist, nimejikita hasa kwenye upande wa usimuliaji wa makala mbalimbali na simulizi za riwaya pia.
Nimefanya kazi na baadhi ya TV za mtandaoni (Online TV) kama vile Ananias Edgar TV, Uhai Tv/Radio, Tanganyika online...
Habari wana Jamiiforums,
Nauliza, Hivi utaratibu wa kupata bank account kwa jina la biashara yako upoje kwa upande wa Zanzibar?
Na hii sio kampuni bali ni Business Name.
Wanaojua naomba msaada tafadhali. Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.