Recent content by Anass Hamad

  1. A

    Fursa kwa wenye TV za Mtandaoni na hata Redio

    Unaweza kusikiliza hapa baadhi ya kqzi zangu.[emoji1313][emoji1313]
  2. A

    Fursa kwa wenye TV za Mtandaoni na hata Redio

    Habari wana jukwaa, Jina langu naitwa VOLDER BN BYJUKA. Mimi ni Freelancer Journalist, nimejikita hasa kwenye upande wa usimuliaji wa makala mbalimbali na simulizi za riwaya pia. Nimefanya kazi na baadhi ya TV za mtandaoni (Online TV) kama vile Ananias Edgar TV, Uhai Tv/Radio, Tanganyika online...
  3. A

    Shule inakodishwa Moshi, Kilimanjaro

    Ni kweli kabisa hapa hamna biashara hata kidogo
  4. A

    Shule inakodishwa Moshi, Kilimanjaro

    Mbona umeandika je! Unataka kuwa bilionea ndani ya mwaka mmoja? Why?
  5. A

    Hivi kweli kuna 'Jini la Pesa?'

    😂😂😂😂
  6. A

    Utaratibu wa kupata bank account ya biashara yako

    Habari wana Jamiiforums, Nauliza, Hivi utaratibu wa kupata bank account kwa jina la biashara yako upoje kwa upande wa Zanzibar? Na hii sio kampuni bali ni Business Name. Wanaojua naomba msaada tafadhali. Asante.
Back
Top Bottom