Ubachosema ni kweli na kama tutakaa kuisubiri ajira mwisho was siku tutajikuta matatani kabisa! Naamini akili ikishughulishwa ktk kufikiri kwa mapana zaidi tutapambana na hali hii ngumu
Hiyo ndio kawaida ya waafrica ila ijulikane kwamba kila mmoja ana fikra na utashi wake. Maneno yako kiukweli yana maana, Asante sana.
Sent from my Y3S using JamiiForums mobile app
Unaona eeee! Anayejali hawezi kushuku vibaya sema tu mitandaoni wapo watu wa aina tofauti! Ila point yangu ya msingi ni kufundisha tu! Mengine sina mpango nayo wala hayako kwa mind yangu
Hiyo course automatically inatolewa campus na sidhani kama kuna chuo kinatoa hizo course online maana zinahusisha practical trainings kwa kiasi kikubwa
Sent from my Y3S using JamiiForums mobile app
Ndg watanzania, wadau wa elimu na wamiliki wa taasisi za kielimu, natafuta ajira ya ualimu ktk somo la geografia kwa vidato vyote yaani kidato cha kwanza hadi cha sita, shule yoyote na katika mazingira yoyote ndani na nje ya tanzania. Natumaini litasomwa na kama uko tayari hata kwa ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.