Kama utakuwa mtu wa kushinda mtandaoni basi utakuwa umebahatika kuona content za Pengo Makeke ambazo amekuwa akionesha utapeli. Maudhui hake yana ufanano na maudhui ya Kulwa Kikumba au Mr Dude.
Ili kumjua Dude inabidi uwe umezaliwa miaka sio chini 1999 na kwenu kulikuwa na TV ili kuwa na...
Hii barabara niliona mwisho wake tangu wameweka kokoto, kwa sasa hali ni shida sana toka IpoIpo hadi Kihonda sekondari, ila ndio hivyo.
Barabara nyingine korofi ni kutoka Darajani kuelekea Holy Cross, japo shule nzuri ziko pale na ni rahisi kupita ila barabara mbovu sana, kuna muda hata...
Shilingi ya Tanzania imeanza kushuka thamani dhidi ya dola ya Marekani. Kwa data za BoT kwa kipindi cha Jan 26 hadi Feb 5, thamani ya Shilingi imeshuka kwa takriban 3%.
Ikumbukwe kuwa bado tunaendelea kuuza dola ili kuongeza ukwasi sokoni na pia tumeanza kuuza dhahabu.
Mwaka jana tulizuia vitu...
Ili kuhakikisha elimu bure kwa shule za serikali, serikali hutoa fedha ili kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa. Kwa data za TAMISEMI, shule ya Msingi Matambwe iliyoko Wilaya ya Morogoro, tarafa ya Kisaki, ilipokea Tsh 56,787 kwa mwaka wa fedha 2024/25. Shule hii ina jumla ya wanafunzi 18 kuanzia...
Kwa Takwimu zinazotolewa na TAMISEMI kuhusu elimu zinaonesha kwa mwaka 2024 jumlay ya wanafunzi 100,109 waliacha shule. Katika idadi ya watoto hao, idadi ya wanawake na wanaume ina tofauti ambapo watoto wa kike walioacha shule ni 49661 na wakiume ni 50448.
Mikoa inayoongoza kwa kuacha shule ni...
Shule za serikali kwa mujibu wa takwimu za TAMISEMI ni kuwa mikoa yote Tanzania ina shule ambazo zinawalimu chini ya 10. Hata hivyo Lindi inaongoza kwa kuwa na shule nyingi zenye waalimu chini ya 10.
Aidha shule 21 zina walimu 5 au chini ya hapo na shule 2 zilizoko mkoani Mara zinawalimu...
ANAANDIKA ASKOFU BAGONZA
NADHANI TUNAJICHANGANYA?! Au ni Mimi Najichanganya?!
1. SAFARI YA VATICAN
Tungepatana nyumbani kwanza na wawakilishi wa Papa kabla ya kwenda kwa Papa. Tumempiga Padre wake; Tumetengeneza Wakatoliki Vijora; Tunamdhalilisha Kitima, halafu tunaenda kwa Papa. Hatari ipo...
Ni falsafa tofauti!
Mimi napongeza mtoto kwa kila hatua, ila namshauri afanye zaidi. Inaleta sense kwamba nyumbani wanajali. Tofauti nilivyolelewa nakuja na A nyumbani full shangwe nakutana na kesi sijui sijafua nguo au sijui nimepiga nani and nobody cares kuhusu nilichofanikiwa. So ni kweli...
Umebadilika! America teaches you kila unachokifanya ni achievement na unakubali, ila TZ inakufanya uone kila unachofanya kifiche, most of the people I have met, they never wanted nije niandike their inspirational stories ili watz nao wapambane kuja huko. So I understand the African social life...
Nilizurura naye sana kwa kuwa matokeo yake ya kidato cha pili ni mazuri. Kama umesoma zamani zangu taarifa ni kuwa siku hizi kidato cha pili kuna mitihani na matokeo yanatoka kitaifa, angalia necta utayaona. So, ilikuwa ni namna ya kumpongeza kwa matokeo yake pia
Kuondoa ulimbukeni sio kukataa ukweli kwamba inaonesha mafanikio. Kama umesoma bongo utaona jinsi vijana wa chuo wanavyohangaika kumiliki subwoofer ambayo haiongezi kitu kwenye maisha yao ya chuo. Wanaacha kulimbuka ikiwa mtu amezaliwa amevikuta.
Wewe unajua jinsi wamarekani weusi kwa weupe...
Unanikumbusha kitabu cha Paulo Coelho, The Winner Stands Alone... anasmea matajiri kuna muda wanatamani wasingekuwa na mali, ila wanashindwa kuzitupa hizo mali iliwaendelee na simple life.
It is greener on the other side... lakini hata wewe bado unaogopa kuacha simu yako ya gharama kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.