Recent content by Analogia Malenga

  1. Analogia Malenga

    Naleta Ugomvi: Kati ya Pengo Makeke na Mr. Dude nani alifanya utapeli ulioakisi uhalisia?

    Kama utakuwa mtu wa kushinda mtandaoni basi utakuwa umebahatika kuona content za Pengo Makeke ambazo amekuwa akionesha utapeli. Maudhui hake yana ufanano na maudhui ya Kulwa Kikumba au Mr Dude. Ili kumjua Dude inabidi uwe umezaliwa miaka sio chini 1999 na kwenu kulikuwa na TV ili kuwa na...
  2. Analogia Malenga

    KERO Wakazi wa IPOIPO kuelekea Kihonda Sekondari tunaendelea kupata adha kubwa kutokana na hali mbaya ya barabara

    Hii barabara niliona mwisho wake tangu wameweka kokoto, kwa sasa hali ni shida sana toka IpoIpo hadi Kihonda sekondari, ila ndio hivyo. Barabara nyingine korofi ni kutoka Darajani kuelekea Holy Cross, japo shule nzuri ziko pale na ni rahisi kupita ila barabara mbovu sana, kuna muda hata...
  3. Analogia Malenga

    Shilingi ya Tanzania yashuka kwa 3% dhidi ya dola ndani ya wiki moja

    Shilingi ya Tanzania imeanza kushuka thamani dhidi ya dola ya Marekani. Kwa data za BoT kwa kipindi cha Jan 26 hadi Feb 5, thamani ya Shilingi imeshuka kwa takriban 3%. Ikumbukwe kuwa bado tunaendelea kuuza dola ili kuongeza ukwasi sokoni na pia tumeanza kuuza dhahabu. Mwaka jana tulizuia vitu...
  4. Analogia Malenga

    Kuna shule Morogoro ilipokea 56,787 kwa mwaka wa fedha 2024/25 ili kufinance elimu bure

    Ili kuhakikisha elimu bure kwa shule za serikali, serikali hutoa fedha ili kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa. Kwa data za TAMISEMI, shule ya Msingi Matambwe iliyoko Wilaya ya Morogoro, tarafa ya Kisaki, ilipokea Tsh 56,787 kwa mwaka wa fedha 2024/25. Shule hii ina jumla ya wanafunzi 18 kuanzia...
  5. Analogia Malenga

    Mikoa iliyoongoza kwa wanafunzi wa sekondari kuacha shule kwa mwaka 2024

    Kwa Takwimu zinazotolewa na TAMISEMI kuhusu elimu zinaonesha kwa mwaka 2024 jumlay ya wanafunzi 100,109 waliacha shule. Katika idadi ya watoto hao, idadi ya wanawake na wanaume ina tofauti ambapo watoto wa kike walioacha shule ni 49661 na wakiume ni 50448. Mikoa inayoongoza kwa kuacha shule ni...
  6. Analogia Malenga

    Shule za sekondari 355, zina waalimu chini ya 10

    Shule za serikali kwa mujibu wa takwimu za TAMISEMI ni kuwa mikoa yote Tanzania ina shule ambazo zinawalimu chini ya 10. Hata hivyo Lindi inaongoza kwa kuwa na shule nyingi zenye waalimu chini ya 10. Aidha shule 21 zina walimu 5 au chini ya hapo na shule 2 zilizoko mkoani Mara zinawalimu...
  7. Analogia Malenga

    Anaandika Askofu Bagonza: Nadhani Tunajichanganya? Au ni Mimi Najichanganya?!

    ANAANDIKA ASKOFU BAGONZA NADHANI TUNAJICHANGANYA?! Au ni Mimi Najichanganya?! 1. SAFARI YA VATICAN Tungepatana nyumbani kwanza na wawakilishi wa Papa kabla ya kwenda kwa Papa. Tumempiga Padre wake; Tumetengeneza Wakatoliki Vijora; Tunamdhalilisha Kitima, halafu tunaenda kwa Papa. Hatari ipo...
  8. Analogia Malenga

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Ni falsafa tofauti! Mimi napongeza mtoto kwa kila hatua, ila namshauri afanye zaidi. Inaleta sense kwamba nyumbani wanajali. Tofauti nilivyolelewa nakuja na A nyumbani full shangwe nakutana na kesi sijui sijafua nguo au sijui nimepiga nani and nobody cares kuhusu nilichofanikiwa. So ni kweli...
  9. Analogia Malenga

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Umebadilika! America teaches you kila unachokifanya ni achievement na unakubali, ila TZ inakufanya uone kila unachofanya kifiche, most of the people I have met, they never wanted nije niandike their inspirational stories ili watz nao wapambane kuja huko. So I understand the African social life...
  10. Analogia Malenga

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Nilizurura naye sana kwa kuwa matokeo yake ya kidato cha pili ni mazuri. Kama umesoma zamani zangu taarifa ni kuwa siku hizi kidato cha pili kuna mitihani na matokeo yanatoka kitaifa, angalia necta utayaona. So, ilikuwa ni namna ya kumpongeza kwa matokeo yake pia
  11. Analogia Malenga

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Hadi hapo umekubali, and then unazungumzia 'life style'.
  12. Analogia Malenga

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Kuondoa ulimbukeni sio kukataa ukweli kwamba inaonesha mafanikio. Kama umesoma bongo utaona jinsi vijana wa chuo wanavyohangaika kumiliki subwoofer ambayo haiongezi kitu kwenye maisha yao ya chuo. Wanaacha kulimbuka ikiwa mtu amezaliwa amevikuta. Wewe unajua jinsi wamarekani weusi kwa weupe...
  13. Analogia Malenga

    Nunua gari kali, jenga ghorofa

    Unanikumbusha kitabu cha Paulo Coelho, The Winner Stands Alone... anasmea matajiri kuna muda wanatamani wasingekuwa na mali, ila wanashindwa kuzitupa hizo mali iliwaendelee na simple life. It is greener on the other side... lakini hata wewe bado unaogopa kuacha simu yako ya gharama kwenda...
Back
Top Bottom