Recent content by An Orator

  1. An Orator

    2020 CCM watashinda kwa urahisi sana kushinda chaguzi zote zilizowahi kufanyika hapa Nchini.

    Mura onde nuhoire. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. An Orator

    Itachukua miaka 2 hadi 14 kubangua korosho za msimu huu, yale mabomu yameshindwa na lile tamko la bunge litakuwa batiri la kumpongeza?

    Uchumi unafanana na kikohozi huwezi kujifucha. Serikali haina hela ya kununua korosho. Lazima ichutame kwa wafanyabiashara iliyowakataa awali. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. An Orator

    Mbatia ahusishwa na matumizi mabaya ya fedha za mfuko wa jimbo

    Hawa wanasheria uchwara wanaoshindwa hata kutofautisha kati ya salary na wage. Yeye anamuagiza Mbunge na Afisa Mpango wa Wilaya, yeye kama nani.? Huyu Solicitor kweli anayafahamu mamlaka yake vzr.? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. An Orator

    Vijana ambao ndoto zao kisiasa ziliishia njiani ghafla

    Geranimo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. An Orator

    Rais alisaini sheria ya kuunganisha mifuko, Wataalam yaani SSRA wakatengeneza Kanuni za kuendesha mifuko

    Irene Isaka ni mtu wa wapi? Mbona mjuaji sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. An Orator

    Kilichoendelea jana huko ofisi za mifuko ya hifadhi ya jamii

    Kasuku Baregu aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kakonko. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. An Orator

    Andrew Chenge asingeshindwa jibu(wages vs salary)

    Huyu Mwanasheria Mkuu alidhalilisha kada yake kwa kushindwa kujibu lile swali. Kuna wakati mchangiaji mmoja (nafikiri board member) aligusia na kusema kuna contradiction kati ya Salary na wage kwenye sheria ya NSSF na PSSSF hivyo smart lawyer alitakiwa pale pale apitie hizo sheria asome...
  8. An Orator

    Simbachawene anatafutwa na polisi kwa tuhuma za kujeruhi

    Simbachawene ndiye mmliki wa TITANIC bar pale vingunguti relini jirani na soko la mbuzi. Nimeitembelea hivi karibuni naona kaiboresha na kuweka counter 2 na ameijengea vzr. Siku hizi namuonaga akilewa hapo baani kwake. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. An Orator

    Wabunge washangaa sheria ya mafao, wasema kipengele cha mstaafu kulipwa 25% na 75% kwa miaka 12 kilifichwa

    Utetezi wenu kwamba kifungu kinachowakandamiza watumishi wa umma hamukukiona ni utetezi wa kitoto usio na chembe ya mashiko wala aibu. Sasa tunawasubiria kwenye muswada unaohusu Vikoba/saccos kuwa chini ya Benki Kuu ya Tanzania. Yaani wale wananchi wanyonge waliojiongeza na kuanzisha kakikoba...
  10. An Orator

    Usiyoyajua kuhusu kabila la wabena

    Historia nyepesi sana hii, kuna mambo muhimu umeyaacha. Huwezi kuelezea kabila halafu usigusie kabisa tamaduni za kabila hilo.
  11. An Orator

    Wabunge washangaa sheria ya mafao, wasema kipengele cha mstaafu kulipwa 25% na 75% kwa miaka 12 kilifichwa

    Yaani mstaafu aliyetakiwa kulipwa milioni 200+ Leo kwa sheria hii iliyoanza kutumika tangu August Moja, 2018 atastahili kulipwa si zaidi ya milioni 38!!! Kweli hii ni haki kwa watumishi wa umma waliotumikia taifa kwa zaidi ya miaka 35 (mbona mnawalizimisha watumishi kupata strock-kupooza mwili...
  12. An Orator

    Hivi huyu Mtu aliyenitumia Mimi huu ' Ujumbe ' kunako ' WhatsApp ' ananitafuta ' Ubaya ' gani Mimi lakini?

    Hahahah hapo kwenye makende makubwa kama fenesi/tikiti maji umeongeza ili kuleta raha ya tafsiri yako.
  13. An Orator

    Liberia President, George Weah declares free tuition in all public universities

    Actually we are in a right truck, but are disorganized.
  14. An Orator

    Mkapa: Kama kila Rais anakuja na mambo yake, hatuwezi yafikia maendeleo

    Yeye si aliitwa Ikulu kumshauri Mkulu, alishidwa nini kusema hayo anayosema sasa. Huu ndio unafiki.
Back
Top Bottom