Nimewiwa kuandika haya kutokana na ukimya wa kile kinachoendelea katika shule ya sekondari Mvuti iliyopo Halmashauri ya Jiji Ilala katika kata ya Msongora mtaa wa Kiboga tangu mwishoni wa mwaka 2019 alipoondolewa Head Master aliyekuwepo na kuletwa Headmaster Mpya aliyepo mpaka sasa!
Je nini...
Hapa kwangu mabweni manne makubwa na ya kisasa yote ya wasichana! Bweni moja tu la wavulana na wavulana wamewekwa 20 tu kati ya vyumba mia moja ambavyo vyote ni tupu!
Mabweni ya wasichana yamejaa wasichana zaidi ya mia na hamsini, ukiuliza why wavulana wanaendelea kutokea day (nyumbani)...
Jiografia niliyoisoma na mifano mizuri yote niliyooneshwa kuthibitisha kuwa jua liko stationary na dunia ina move ilikataa kunasa kwa brain yangu hadi nazeeka. Nimeendelea kuamini ninachokiona ni sahihi kuliko nilichokaririshwa: Dunia Iko stationary na jua na all luminaries bodies in sky zina...
Huyu jamaa ni sehemu ya laana tupu maana ni juzijuzi alipiga kelele sana na huo uzi wa baraka za Baba but leo anajinusa vidole mwenyewe kwa kujipinga tena Kwa miandishi mingiiii!!! Nadhani anakaririshwa sehemu huko kwa secret societies si bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mshana hebu nifafanulie kiasi mzee mimi ni mteja sana wa Dar lux na nilipenda kutokana na customer service bora sana! Sasa mwezi huu nimeenda ofisi yao ubungo kukata tiketi na kulala hapohapo ili kesho yake nianzie hapo safari ya Mwanza, customer Care haijachange kivile ila sasa:
Hawana bus...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.