Recent content by amrabbakam

  1. A

    JamiiForums Tanzania Nimepanga kumpa mke wangu nusu ya Mshahara

    Mshahar wako ni kias gani ?na unampa ili naye awe kama ameajiliwa? au mantik yake ni nini tupunguzie maswali maana naona tuko njia panda tupe elimu au mkeo anafanya kaz nying san hapo .kwako au kakufurahisha sana
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nampenda lakini "Kama vile" hajielewi..

    Pia usiwe mshamba kudanganywa kwa machoz unamjua riham ally
  3. A

    JamiiForums Tanzania Nampenda lakini "Kama vile" hajielewi..

    Pole kaka ila mapenz muamuz no we we mwenyewe pia unapotaka kuchukua maamuz magumu tuache wachangia tuongee halafu utachuja mwisho WA maelezo yako umesema unampenda sana kwakuwa unampenda kwa hiari mpende ila kama ningekuwa mm nisingesumbuka kuendelea kumpenda MTU msaliti asiye jua thamn ya...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hataki nichukue namba za simu za rafiki zake

    Namba hizo hazina umuhimu wowote usipende kujiumiza kwa vitu vidogo unakosa raha kisa umenyimwa namba
Back
Top Bottom