Evidence evidence...evidence really?
Hivi tunapoongelea grand corruption, ama ubadhirifu uliokithiri, ama black money kama za mihadarati, ujasusi, white collar theft, (in every sense of the concept)nk ama kutengeneza deal ama kusuka mtiririko fulani wa fedha kwa ajili ya mtu/watu kujinufaisha...
I think we have a tendency to use concepts very loosely. Mimi nadhani tuwe very careful with this. Ni vizuri kuchimbua maana ya concept, na kuitendeaa haki katika kuitumia!
Intellectualism sio usomi, na kumtambua ama kum-brand mtu kuwa ni intellectual sio jambo dogo hata kidogo! Sio mtu...
Kuna kitu lazima tukumbuke, and this is very obvious...watu wenye madaraka ni wanadamu wa kawaida kabisa, wenye human weaknesses, sentiments; pia hawa wanadamu wana individual differences (wanatofautiana) na commonalities (kuna vitu wanafanana, kama individuals ama kama a-class ama kama a-group...
Lazima pia ukumbuke kuwa ile ilikuwa talaka moja, na ina maana yake. Yaani kwamba kuna kila uwezekano wa kurudiana tukimaliza tofauti zetu ama ukijirekebisha ama kwasababu moja au nyingine mume akibadilisha uamuzi wake. Kwa mfano, mwanamke wa Ki-Islam akipewa talaka moja haruhusiwi kuolewa ama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.