Habari za wakati huu wana JF Dr. Naomba msaada wenu hasa wa mawazo na ushauri wa tiba kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nilipata ajari nika vunjika mguu eneo la jointi.
Lakini tuwe wa kweli jmn, Mr Bluce lee wewe yawezakuwa ulikamatwa haidha kwa utumiaji au muuzaji jiangalie wewe kwanza na ww yaweza kuwa ndiyo chanzo. Uwezi kutumbua jipu bila kuanza na kichwa cha jipu.
Bila upendeleo kati ya mtoa mada na polisi, yaweza kuwa mtoa mada alipigwa pini na polisi kutokana na biashara hiyo ya mirungi haiza ni muuzaji au mtumiaji wa hy mirungi. Lakini yote kwa yote uchunguzi ufanyike kabla ya maamuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.