Recent content by Amos mwambembela

  1. A

    DP World inatisha 2: Tazama bandari inazozihudumia Uingereza

    Hakuna aIpingaye DP kinachopingwa ni mashariti ya mkataba. Sote twataka mabadiliko ila sio ya style ya Richmond with their capacity charges
  2. A

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe asusiwa na wafuasi wake huko kigoma. Jionee mwenyewe

    Sio kwamba nampenda Mbowe,ila hii umedanganya.Yuko wapi Mbowe hapo?
  3. A

    Nawapongeza TRA kwa Kutimiza Wajibu Wenu. Ukicheka na Mfanyabishara Utavuna Mabua

    Kama watumishi hawawezi kukwepa kodi,kama ni rahisi,waache utumishi waje nao kufanya biashara.
  4. A

    Kumbe hata Rondo hakupendwa. Nape Unauwaza Ubunge 2025 tu

    JPM miaka miwili na ushee Sasa Toka afarakane na dunia Bado yumo midomoni mwa watu.Akisemwa Kwa mazuri na mabaya vilevile,usihofu ni huruka ya wanadamu.
  5. A

    Benard Membe kuwa Kachero mbobezi ni ishara ya udhaifu mkubwa idara ya usalama wa Taifa

    ...nimependa kauli Yako mkuu,"Nchi hii inakwenda Kwa kudra za mwenyezi MUNGU"...
  6. A

    Mfanyabiashara mbaroni kwa kuchoma maduka kisa yana BIMA

    Calculator ikikuonyesha faida kubwa acha hiyo biashara ni hasara kabisa.Hii imekula kwake!
  7. A

    Bei ya maharage Kenya ni 2861 Tsh/Kg huku Tz ni 4,200Tsh/Kg lakini wakenya wapo Barabarani huku watanzania tukipongezana miaka 2

    Hata Kenya hawajaandamana wote,yamkini hata Kenya Kuna maeneo bei Iko chini
  8. A

    Mama Feisal jitokeze mbele ya kamera uombe radhi Viongozi na Mashabiki wa Mpira kwa kuzungumza mambo ya uongo

    ..usiongee maneno,thibitisha Kuwa mama ni mwongo na Kuwa Feisal haali huo ugali kwa sukari kama alivyonukuliwa mama.
  9. A

    Mashindano ya Division ZERO 2023

    ..kweli kabisa Mkuu, najaribu kufikiria mwalimu anayefundisha darasa la Amina hiyo,kwa somo lolote, ni namna Gani aliweza kupitia madaftari ya watoto hao.
  10. A

    Zijue nchi za Afrika na majina yake ya zamani

    Uchawa ni utumwa wa hiari kaka! Habari ya fisi kufwatilia mkono wa mwanadamu uki_swing akiamini utadondoka.
  11. A

    Kuna Mtanzania niliyemuamini nimemsikia na kuamini kumbe naye 'ameshalambishwa' Asali ya Zanzibar

    Gentamycine nawewe naona hujiamini mbona unaweka majina kwenye mabano.
  12. A

    Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

    ...unampa ushauri wakati yeye hajaomba,labda yeye kinacho endelea ndio anataka.Maadamu anapita hapa endelea ataokota siku akipita.
Back
Top Bottom