Recent content by Amos msese

  1. A

    Nitazidi kusema "hapana"katiba mpya

    nimejarib kuisoma katiba mpya na kupitia baadhi ya vifungu.kilichonishangaza zaidi viongozi wamezidi kujilinda huku (1)maoni ya mwananchi yakitupiliwa mbali nami nasema "hapana" achilia mbali kuisoma kilichoniumiza (2)zaidi ya robo tatu ya wananchi katika kata yangu hawajaisoma katiba mpya...
  2. A

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Ningependa kufahamu zaidi kwani ninawazo la kuanzisha biashara ambayo nimejaribu kuchunguza nikaona ina mafanikio lakini tatizo lipo kwenye mtaji kwani ninaishi maisha ya chini sana. Ahsante sana
  3. A

    Vyuo Vikuu

    Ningependa kufahamu zaidi jinsi ya kujiunga na vyuo vinavyotoa elimu ya sanaa na utunzi wa vitabu ili nami niweze kujiunga.pia ninaomba mniorodheshee hivyo vyuo vinavyopatikana ndani hata nje ya nchi.Ahsanteni Sana.
Back
Top Bottom