Nitazidi kusema "hapana"katiba mpya

Amos msese

New Member
Mar 7, 2015
3
1
nimejarib kuisoma katiba mpya na kupitia baadhi ya vifungu.kilichonishangaza zaidi viongozi wamezidi kujilinda huku (1)maoni ya mwananchi yakitupiliwa mbali nami nasema "hapana"

achilia mbali kuisoma kilichoniumiza
(2)zaidi ya robo tatu ya wananchi katika kata yangu hawajaisoma katiba mpya
(3)kinachofanyika zaidi baadhi ya viongozi wetu wanawaambia wananchi wapige kura ya "NDIO"

nimefanya utafiti katika kata yangu na nimepata baadhi ya hayo,hivi TANZANIA tunakwenda wapi?
 
nimejarib kuisoma katiba mpya na kupitia baadhi ya vifungu.kilichonishangaza zaidi viongozi wamezidi kujilinda huku (1)maoni ya mwananchi yakitupiliwa mbali nami nasema "hapana"

achilia mbali kuisoma kilichoniumiza
(2)zaidi ya robo tatu ya wananchi katika kata yangu hawajaisoma katiba mpya
(3)kinachofanyika zaidi baadhi ya viongozi wetu wanawaambia wananchi wapige kura ya "NDIO"

nimefanya utafiti katika kata yangu na nimepata baadhi ya hayo,hivi TANZANIA tunakwenda wapi?

Amos Msese, Acha uongo wako hapa. Nani kakudanganya maoni ya wananchi yametupiliwa mbali? Nina mashaka Kama kweli umeisoma, maana mambo mengi yaliyoanzishwa na wananchi yapo zaidi ya robo tatu. Sasa wewe unaposema maoni ya wananchi hayapo umetoa wapi utafiti huo? Fuatilia na kuisoma vema Katiba Inayopendekezwa usisimamie maneno ya kusikia. Uwe mkwli na muungwana kwa taifa lako
 
nimejarib kuisoma katiba mpya na kupitia baadhi ya vifungu.kilichonishangaza zaidi moo viongozi wamezidi kujilinda huku (1)maoni ya mwananchi yakitupiliwa mbali nami nasema "hapana"

achilia mbali kuisoma kilichoniumiza
(2)zaidi ya robo tatu ya wananchi katika kata yangu hawajaisoma katiba mpya
(3)kinachofanyika zaidi baadhi ya viongozi wetu wanawaambia wananchi wapige kura ya "NDIO"

nimefanya utafiti katika kata yangu na nimepata baadhi ya hayo,hivi TANZANIA tunakwenda wapi?

A big up, Sasa jiunge na vuguvugu la kura ya hapana kwa katiba ya "nyoka wa makengeza na Six", muda wa kuongea hatuna; kazi ni moja kuhamasisha kura ya HAPAANA. Period
 
nimejarib kuisoma katiba mpya na kupitia baadhi ya vifungu.kilichonishangaza zaidi viongozi wamezidi kujilinda huku (1)maoni ya mwananchi yakitupiliwa mbali nami nasema "hapana"

achilia mbali kuisoma kilichoniumiza
(2)zaidi ya robo tatu ya wananchi katika kata yangu hawajaisoma katiba mpya
(3)kinachofanyika zaidi baadhi ya viongozi wetu wanawaambia wananchi wapige kura ya "NDIO"

nimefanya utafiti katika kata yangu na nimepata baadhi ya hayo,hivi TANZANIA tunakwenda wapi?

Hujaielewa wewe afu unajifanya kushawishi sisi, No tumekushtukia na utafiti wako ulioufanya chini ya mti mie hata sikufagili hata kidogo niambie kwanza Katiba ya 1977 umeshaisoma yote?
 
A big up, Sasa jiunge na vuguvugu la kura ya hapana kwa katiba ya "nyoka wa makengeza na Six", muda wa kuongea hatuna; kazi ni moja kuhamasisha kura ya HAPAANA. Period

MTK usiwe kama mbayuwayu kuunga unarukia topic usojua!unakubali kuwa cheated na huo utafiti alioufanya kwa familia yake afu anazingua eti robotatu hawana,WATANZANIA WATAPIGA KURA YA NDIYO WALA HAKUNA MASHAKA.
 
Back
Top Bottom