Recent content by amonly

  1. A

    JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu, uongo ambao wanawake wanatudanganya huu hapa

    Pumbafu zako wewe jinga kabisa. Kakobolewe
  2. A

    JamiiForums Tanzania Tujadili wana MMU. Mwenza wako anakuwa kama mtoto

    Akifahamu kama amefanya kosa
  3. A

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wasichana unatumia pesa nyingi, anampenda mtu mwingine free of charge

    Huyu atakuwa anatumia Window 7 professional
  4. A

    JamiiForums Tanzania Maneno 21 kutoka kwa Baba kwenda kwa mtoto wakiume aliye katika mahusiano.

    Si kosa lako. Watanzania wengi hatupendi kusoma maandishi marefu na mambo ya umuhimu. Thread za kijinga na zisizo na mbele wala nyuma ndizo tushadadiazo.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Maneno 21 kutoka kwa Baba kwenda kwa mtoto wakiume aliye katika mahusiano.

    Pole kwa kutosoma maneno yote. maneno mazuri sana
  6. A

    JamiiForums Tanzania Kwamtoro nina jambo zuri sana la kuwaambia Dada zangu mlio na umri wa 30+ pamoja wana MMU wote

    Huu ujumbe siyo vyema upotee bila wana MMU wengine kuusoma.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Kwamtoro nina jambo zuri sana la kuwaambia Dada zangu mlio na umri wa 30+ pamoja wana MMU wote

    Mkuu huu uzi mzuri sana, tatizo sisi watanzania tumelogwa na aliyetuloga alituloga vibaya sana. Tunapenda sana kujadili vitu visivyo na kichwa wala miguu. Vitu vya maana kama hivi vinakosa mashiko.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Najuta kuifahamu stand ya Mwenge

    Vijana hawana ajira, kwa kipindi hichi wameamuwa kwa dhati kabisa kujikita katika hajira hii.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kuna huyu member mwenzetu Lara 1. je, unafikiri ni mtu wa aina gani?

    A. Nafikiri she is not smart sana kimavazi coz ni hasla sana B. Mazingira half uswazi half ushuwani C. Kama ningekuwa nafanya naye kazi nafikiri ni mtu hard work ila sikio kalitega mda wote kusikia nini kimetokea D. Siku ni kionana naye nitajiuliza ni huyu kimbau mbau au short ndiye mwenye post...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Wengi wa wanaume wenzangu, tunachuma sana zambi hii

    zombii kweli wewe. kifaulongo tu wewe. kajambe ukalale. Haya umeomba poo kiaina tambaa zako mchana mwema
  11. A

    JamiiForums Tanzania Wengi wa wanaume wenzangu, tunachuma sana zambi hii

    Acha kutapatapa wewe mjomba. Endelea tuendelee sasa unatafuta kichaka cha kujifichia cha nini? kwamtoro ameingiaje hapa. au ulifikiri mambo yako ya kijinga yanamkera kwamtoro tu. acha ushamba kijana
  12. A

    JamiiForums Tanzania Wengi wa wanaume wenzangu, tunachuma sana zambi hii

    Ahhaa mjomba kidevu yule shogaa. Mjomba maringo, mjomba wowowo, mjomba yule ukijigeuza umejamba. Mjombaaaaa
  13. A

    JamiiForums Tanzania Wengi wa wanaume wenzangu, tunachuma sana zambi hii

    La hasha sii mfahamu ila nahisi ni paka shume tu. Je wewe unamfahamu anaye kuambia maneno hayo?
  14. A

    JamiiForums Tanzania Wengi wa wanaume wenzangu, tunachuma sana zambi hii

    Pumbafu wewe Phlagiey hatupo shule hapa. Sote tunaona ufukunyuku wako kwa mleta mada. Acha ungese dog wewe
  15. A

    JamiiForums Tanzania Msichana, mwanamke ogopa danger zone, stuka usikubali kuishi kwa kuchelewa kuolewa

    @kwamtoro, wasichana wa kileo wanapenda kuchukuwa tahadhari ya kutokukimbilia kwenye ndoa kwa sababu zifuatao. - Wana wakwepa wanaume ambao siyo waaminifu, wapigaji, watukanaji na ambao mama zao awawapendi. - Wanaume wengi wamekuwa siyo husband materials. Awana maono, matarajio nakadhalika.
Back
Top Bottom