hii nchi ya kinafki na kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa nadhan mpaka hao watu wasio julikana waingie ikulu wamuue rais ndo labda siriousness itakuwepo!....manake staki kuamin kwamba vyombo husikaa vimeshindwa kuwatia nguvuni hawa maharamia na ni kwa nn iwe wakenya tu? Na pia kwann Zanzibar...
hii italipika pale tutakapo mpunguzia Rais madaraka ya kuchagua baraza la mawazir, manake kwenye uchaguzi tunachagua Rais na Naibu wake na yeye anachagua genge la wahuni wenzake (baraza la mawaziri) na matokeo yake ndo haya!....Watanzania kulipika kwa deni hili mwanzo wake ni Badiliko la katiba...
huu ni uzembe wa kufikir unandhan haya hayawez kutokea kwa huyo unaye mwita mbaya?...........mwanamke ni mwanamke tu cha msingi ni vp unamtreat aseh hata mbovu anaweza kukuvuruga ukashangaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.