Ndugu zanguni hivi ni sahihi kwa Baba mzazi kumtenga mwanaye?
Kwa muda mrefu Mzazi wangu amekuwa akinitenga na kutoonyesha ushirikiano kwangu mimi jambo linalonivunja moyo na kuniathiri kisaikolojia.Nimekuwa na huzuni na manunguniko sababu ni baba yangu leo hii nikifa chanzo cha kifo changu...
Ndugu zanguni kwenye maisha tunapitia mengi kila mtu anayo yale aliyoyapitia lakini sidhani kama kuna aliyeyapitia kama haya ninayoyapitia mimi kiukweli inauma na kusikitisha sana .
Baba yangu kwa muda mrefu amekuwa akiwapendelea watoto wa kike na hiki kitu ni kibaya kinajenga matabaka na chuki...
Nasikitika na kuumia katika maisha yangu sijawahi kulala kituo cha polisi wala kufika kituo cha polisi sababu mimi ni mtu mwema lakini cha ajabu nimelazwa kituo cha polisi siku 4 kwa mara ya kwanza bila ya kosa lolote nimetafunwa na mbu ,watemi manyapara wamenionea kwakuwa nililazwa selo la...
Ndugu zanguni mimi ni mtoto wa miaka 25 na ni mtoto halali kabisa wa baba yangu lakini anachonifanyia sio halali kabisa kana kwamba mimi sio mtoto wake
Siku ya ijumaa baba aliniita na kunieleza ya kwamba kuanzia tarehe 20 novemba nianze kulipa kodi ya chumba hapo nyumbani kwetu na akanikabidhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.