Habari wakuu nimechaguliwa kwenda kusoma BSc ya COMPUTER SCIENCE lakini nimekuwa nikisikia sikia kwamba kozi hii huwa ni ngumu.
Sasa naombeni wakuu mnisaidie ni ugumu gani upo kwenye kozi hii na vitu gani vya kuzingatia kwenye hii kozi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.