Recent content by Aminoltetranguloxide

  1. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania Apps za mikopo za mtandaoni zinakopesha kwa riba kubwa sana

    Utajuaje kama zimesajili maana Hawa majama usipowalipa ni wasumbufu kinoma Everytime wanatuma message kugipa simu ndio usiseme
  2. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania Apps za mikopo za mtandaoni zinakopesha kwa riba kubwa sana

    Hizi Apps za online loan zimekuwa kero zinakopesha pesa ndogo Kwa riba kubwa ukichelewa kuwalipa unaongezewa penalty kubwa sana. Yaani imekuwa changamoto maoni yangu kwa serikali wazicontrol vizuri zinaumiza sana ikiwezekana zifutwe tu.
  3. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania TANESCO

    TANESCO wanatengeneza mazingira ya rushwa ili wakuhudumie, imagine watu walishalipia pesa kitambo ili waunganishiwe umeme lakini wanazungushwa kila siku na hakuna kazi ya maana sana wanayoifanya inayokwamisha wasiwaunganishie umeme watu hao
  4. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuokota pesa kirahisi

    _________________________________ Pesa ya kuokota : Ni pesa ambayo haukulazimika kuifanyia kazi! Hapa kuna maeneo mazuri ya kutembelea ili upate hiyo bahati. 1. Tembelea Sehemu za Uoshaji magari: Watu wanaposafisha magari yao, sarafu zinaweza kuanguka. Wakati mwingine watu huzifagia pesa zao...
  5. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania Mbinu ni kisu kwa mechi sio substitution kila wakati

    PROFESA . Kuna Nyakati Mechi ikiendelea Unabaini kabisa uwanjani Wachezaji wamebanwa na wamekosa mbinu Mpya wao binafsi ya Kujiokoa ili wapate ushindi Lakini Ghafla utaona Nabi anafanya Maamuzi ya Plan B na Kubadili wachezaji kadhaa au hata kuwabadili nafasi tu kidogo wale wale walioko uwanjani...
  6. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania Vijana tuache lawama na majungu

    Kwakweli[emoji109]
  7. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania Vijana tuache lawama na majungu

    Hahaha ushaelewa
  8. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania SAUT yafuta degree za Madaktari wa Afya 162 waliohitimu Chuo cha Mt. Francis

    Wao ndio wazinguaji kwanini watoe transcript bila ufahamu, hii nchi bado vituko vinaendelea.
  9. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania Vijana tuache lawama na majungu

    Picha ya majungu au nawewe ushaanza majungu tayari[emoji16]
  10. Aminoltetranguloxide

    JamiiForums Tanzania Vijana tuache lawama na majungu

    Vijana wengi huku mtaani wamekuwa ni watu wa kulaumu wazazi wao au serikali kwamba hawapewi support ya kimaendeleo. Hali inayopelekea maisha yao yamekuwa magumu sana, majungu kwa vijana yamekuwa mengi kitu ambacho kinafanya vijana wengi wawe na misongo ya mawazo. Badala yake vijana waache...
Back
Top Bottom