We huwezi pata kazi kwa dharau zako hizo,ngoja sisi tuendelee kula pesa ulifikiri ukitoka chuo na kazi mkononi,unadharau walimu Sasa ngoja ukome utawaheshimu tu.
Wapo watu wamefanikiwa wengi tu kwa kufuata utaratibu wa serikali uliopangwa hivyo Kama kijana unazo sifa za ajira zilizotangazwa omba na kila kitu kitafuata utaratibu uliopangwa na si vinginevyo,kinachoendelea kwa sasa ni Maneno ambayo hayana ukweli wowote.
Kimsingi kama unaushahudi juu ya hilo peleka Takukuru ila ninavyofahamu wewe Kama kijana unazosifa za kuaaply wewe omba usisikilize maneno ya Mtandaoni nchi yetu kwa sasa iko makini sana juu ya mambo hayo si rahisi kutokea Kama inavyoelezwa na Mtoa mada.
Mimi ni mhitimu wa Degree ya Barchelor of Business administration in Accounting with Education natafuta kazi yoyote ile inayoendana na elimu yangu namba za simu 0714488026
Ok thanks kwa ufafanuzi but nilikua nauliza tena je ni cheti husika unachoombea tu maana kwenye ajira portal si unaweka vyote mfano barchelor, diploma ,certificate and form 4 kwa hivyo vyote lazima viwe certified au samahi kwa usumbufu naomba majibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
General condition namba nne for certified copies of certicate that means any one who know can provide elaboration to me for that indicated statement.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana ambae naishi arusha elimu yangu ni Diploma ya accountancy nahitaji kazi inayohusika na kada tajwa hapo juu ambayo inapatikana arusha kwa sasa ni Barchrlor progress 3rd year namba yangu ya simu ni 0714445217.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani nauliza kuna jamaa yangu akusoma diploma akafanikiwa kujiunga Barchelor sasa yuko mwaka wa tatu ila chuo chake kilitoka kwenye orodha ya kusitishiwa udahili je anaweza kuathirika kwenye barchelor yake maana wale ambao walikuwa hawajaomba wakivyojaribu kuomba wanaambiwa matokeo yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.