Iyo ya kuwa na skendo ndio kabisa — hawawezi kukuamini kama mikono yako haina uchafu wowote — ili uwe unakumbuka kuwa kulinda maslahi yao ni kulinda maslahi yako.
Halafu ukifikiria wananchi wanayotaka ni haki yao kuvitaka na kupewa— education and health systems that actually work, a free and...
So many blurred lines…
Shida yetu ni huu mchanganyiko wa umafioso serikalini. Watu kama wanataka kubaki na uhalifu wao wanaforce nini kuwa serikalini ? Halafu wakishapata madaraka kazi kujimilikisha mali na kuanzisha biashara 100. Lakini Mungu alivyo mkubwa greed makes them accumulate a lot...
Wanamtandao wanajua wananchi wana desperation kali ya kupata mabadiliko na tusipokuwa makini watatuchezea sana. Kilicho muhimu kwao ni kubaki madarakani iliwabaki na mali walizojimilikisha. Hata kuuwa watoto wa watu 29/10/2025 walivifanya watu wamvae SSH wao waendelee na mambo yao. Baada ya...
You ask great questions!
1) Mimi ninakuwa na wasiwasi navyoona Watanzania wanavyompigia makofi Nchimbi kwa kusema endeleeni kuomba katiba mpya. Polepole alisema Nchimbi ni mwanamtandao na pia Nchimbi has been a notable member of CCM for longer than most of us have been alive — hatujui mambo...
2030 wanamtandao wakiweka mtu hapo kwenye kiti cha raisi ambaye sio mzanzibari, ni mtu wa bara, rhetoric za kujitenga na Zanzibar zitadissapear into thin air ?
There are many reasons to be completely displeased and utterly disappointed by President Samia’s rule but isn’t fixating on her...
Political theatre…
And the saddest part is the Tanzanian people are so desperate for change (understandably so considering the levels of poverty, injustice, disease, and corruption in the country), there is a tendency to side with anyone that appears to be sympathetic to their needs…
If the...
Halafu kuna podcast inaitwa Real Dictators (by Noiser) — ipo Spotify.
Miaka nenda rudi kila nikiwa natembea au nafanya mazoezi naisikiliza. Saa zingine unasikia kitu kinakushtua mpaka inabidi ukae chini kwanza.
Hii podcast ina vipindi vingi sana na kama kitabu nilichopost juu hapo kinaongelea...
Nilivyosoma uzi wako nimekumbuka hiki kitabu.
The Children of Monsters: An Inquiry into the Sons and Daughters of Dictators (Jay Nordlinger — Encounter Books)
One of the most interesting books I have ever read. It is such a profound book with powerful lessons on the futility of pride, the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.