Gari la umma la Serikali ya wananchi wa Tanzania limepata ajali na kuharibika vibaya kwenye msafara wa kiongozi wa Propaganda wa Chama Cha Mapinduzi, Paul Makonda.
CCM mtuelezd gari letu lilifuata nini kwenye msafara wenu na nani atagharamia matengenezo yake.
Matumizi ya akili bandia/mnemba tayari yameshaanza kutumika hapa nchini kwetu, tarehe 27 Januari yalifanyika majaribio ya mwalimu akiwa Kibaha akafundisha shule ya Dodoma na limefanyika jaribio lingine la daktari akiwa Dar es Salaam akafanya upasuaji Zanzibar na ukafanikiwa, je hatuoni sasa...
CCM WOTE MBUMBUMBU NI SAWA NA KINYESI
NA WAO SHABIKIA CCM NAO NI NZI
SASA NZI ANAE FATA KINYESI ANA AKILI KWELI huyo miaka yote tangu wapate uhuru ndio wametufikisha hapa
Vijana saivi wanajiita chawa hivi unajua chawa ni kitu Gani au anasifa ya kukaa kwenye nini tuache Ujinga
Wakufata fata mkumbo tujitambue tusimama kutetea Taifa letu
Nilipojiuliza ikiwa Dangote anatumia mitungi ya gesi kwenye magari yake kupunguza gharama, na ni mtu mgeni nchini kwetu sisi wazawa tunashundwaje?
Hatuna hela au wasomi wakufanya hivyo vitu hamna au ni ulimbukeni Wa akili au Kuna watu wanapika Hela kwenye mwendokasi.
Maana gesi ipo kupunguza...
Nilipojiuliza ikiwa Dangote anatumia mitungi ya gesi kwenye magari yake kupunguza gharama,
Na ni Mtu mgeni nchini kwetu sisi wazawa tunashundwaje
Hatuna Hela au wasomi wakufanya hivyo vitu hamna au ni ulimbukeni Wa akili au Kuna watu wanapika Hela kwenye mwendokasi
Maana gesi ipo kupunguza...
Tanzania, nchi yenye uchumi Wa kati inakumbwa na changamoto ya ukatikaji wa umeme mchana wakati wa shughuli za kujenga taifa na biashara.
Wakati huo wanatuwashia umeme usiku tupepewe na feni
Bila kujua kuwa Kuna watu wanategemea umeme walipe waingize kipato na walipe Kodi
Hii nch tutafika kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.