Recent content by American Ninja

  1. American Ninja

    Mlisema Hayati Magufuli amekata miti milioni 3 mvua hazitanyesha

    Nina wasiwasi na upeo wa watu wanaounga mkono huu uzi, Miti Mil 3 Ni mingi mno inayoweza kuleta madhara ya moja kwa moja kama itakatwa vibaya, tena katika kipindi hiki ambapo kuna muziki wa ongezeko la joto duniani, jambo kama hili si lakulisifia au kuliacha liende. Miaka 100 ijayo dunia nzima...
  2. American Ninja

    Madeveloper wengi wa tanzania ni changamoto tupu

    Hapana lazima wakosolewe ili wajijenge, mimi ni miezi miwili sasa hivi nikisearch kitu kwenye hii app naletewa malanguage ya ajabu ajabu, sasa tuwasifie kwa hilo?
  3. American Ninja

    Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Sema watu wagumu kuelewa, Ukienda pale hata kama mgumu kuamini, ndani ya mwezi mmoja tu utakuwa una la kuzungumza.
  4. American Ninja

    Mizimu na madhababu za Ukoo inatesa Maisha yangu

    Mzee nenda kwa mwamposa ukimzingatia anachosema na ukatumia anachotaka utumie, hiyo mizimu itarudi kwenda kupumzika kwao, Naongea hili kwa experience sio kwa kusimuliwa.
  5. American Ninja

    Kumfunga Kijana aliyempa Mimba Binti yako miaka 30 ni akili?

    Are you serious, Lipi ni jambo la kitoto kati ya kutomlinda mwanao asipate mimba kabla na kutambua thamani ya mjukuu wako
  6. American Ninja

    Kumfunga Kijana aliyempa Mimba Binti yako miaka 30 ni akili?

    kwanini usingemlinda kabla ya kupata mimba?
  7. American Ninja

    Kumfunga Kijana aliyempa Mimba Binti yako miaka 30 ni akili?

    Baba anaweza kumuadhibu mwanae akikosea?
  8. American Ninja

    Kumfunga Kijana aliyempa Mimba Binti yako miaka 30 ni akili?

    Serikari ndiyo ambayo huwa inaenda kutoa taarifa serikalini kuwa Mtoto wa baba fulani ana Mimba?
  9. American Ninja

    Kumfunga Kijana aliyempa Mimba Binti yako miaka 30 ni akili?

    Huna la kuniambia, Nimeshapita usimoweza kupita kamanda.
  10. American Ninja

    Kumfunga Kijana aliyempa Mimba Binti yako miaka 30 ni akili?

    Sio lazima kila jambo mkalimalizie seeikalini mkuu
  11. American Ninja

    Kumfunga Kijana aliyempa Mimba Binti yako miaka 30 ni akili?

    Ebane, na watoto wanapewa mimba kila siku, hapa nadhani hata hawa wanaotunga sheria wana matatizo
Back
Top Bottom