Nina wasiwasi na upeo wa watu wanaounga mkono huu uzi, Miti Mil 3 Ni mingi mno inayoweza kuleta madhara ya moja kwa moja kama itakatwa vibaya, tena katika kipindi hiki ambapo kuna muziki wa ongezeko la joto duniani, jambo kama hili si lakulisifia au kuliacha liende. Miaka 100 ijayo dunia nzima...
Hapana lazima wakosolewe ili wajijenge, mimi ni miezi miwili sasa hivi nikisearch kitu kwenye hii app naletewa malanguage ya ajabu ajabu, sasa tuwasifie kwa hilo?
Mzee nenda kwa mwamposa ukimzingatia anachosema na ukatumia anachotaka utumie, hiyo mizimu itarudi kwenda kupumzika kwao, Naongea hili kwa experience sio kwa kusimuliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.