Nadhani Jeska aondoshwe chuoni ili tufunge mjadala kwa kuwa ni kilaza!!!Hii itupe nafasi ya kujadili mambo mengine ya maendeleo ya nchi hii maskini duniani! Pia Rais wetu mpenda haki awe huru kulitumikia Taifa hili maskini kwa ukweli, ukweli mtupu na ili watanzania wote tuendeleze maombi juu...
Kama ndiyo hivyo basi hata Waziri wa Kilimo,Uvuvi na Mifugo naye atoe bei elekezi na Mawaziri wengine wafuate mbona mishahara tuliyo nayo itakuwa ni mikubwa Sana hata tutaomba ipunguzwe kwani savings itakuwa kubwa mno mabenk yatajaa pesa!!!
Jamani hivi Waziri anayeangalia riba zinazotolewa na...
Jamani haya yote yanayotokea utafikiri Watu hawatambui uwepo wa makanisa/ misikiti au aina nyingine yeyeyote mahali ambapo watu huenda kuabudu na kukiri nafisi zetu kwamba sisi ni wema na tunahitaji kutenda mambo Mema kwa Jirani na marafiki zetu? Basi kama ikitokea mtu hatendi haki aachwe tu...
Mimi naomba niongee kitu kuhusu mtoto wa Kabwe kukataa kupokea salamu za mkuu Makonda, nadhani huyu dada hakufanya vizuri hata kidogo!!! Hivi Mtoto wako au Kaka yako au Hata baba, akifanya mambo mabaya inapaswa asiambiwe au asiadhibiwe?? Jamani Watanzania tunaenda wapi iwapo kila Siku tunalia...
Wote Ni sawa lakini ukimuuliza Dr Mtasiwa anayo majibu ya Watu gani ni watendaji kwenye idara nyetiza nchi kuna mtu aliwahi kuwa kwenye harakati za kupunguza vifo vya mama na watoto wachanga nchini kwa 8#'% kwenye vituo husika vya Afya na hii Mh Jr H. Mwinyi anaifahamu vizuri! Sasa watu kama...
Sisi tunapendelea sana short cut ndiyo maana huyo Jamaa yuko hapo kwa kuwa Siku zote yeye alikuwa anajua bongo Wote ni lalaaaaaa mbele/ nyuma yake wako wasela sasa ungepita wapi wewe Sungura???!!! Reality is.capital, kwani hatuwezi kuishi bila Rusha/ favour??)
Hawa wana gm 480-500 tumewafuga miezi 8 sasa lakini hawa ni wazazi ndio maana wanakua taratibu kwa sababu tunavuna mayai Ili tupate vifaranga, kwa hiyo kila mara wiki wanasumbuliwa ingekuwa madume kwa ajili ya mboga yamkini wangekuwa wana uzito mkubwa hata gm 800 au zaidi
1. Unahitaji uwe na eneo lenye maji ya kutosha au uwe na kisima kirefu ambacho kina uwezo wa kutoa maji masaa yote.
2.Upate mtalaamu mzuri wa kuchimba Kisima chenye Urefu wa mita 1.5 ( pref excavator).
3. Ukishachimba inategemea aina ya udongo uliopo ( soil texture) kama sehemu ina chemi chemi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.