Recent content by ame2012

  1. A

    Msaada juu ya fao la kujitoa PPF

    inabidi nicheke tu. Sikuwa na hakika kama bunge lilipitisha mkuu so nilienda with confidence pale PPF. Nipo Tanzania hii hii ambayo inanilazimu kutumia kwa uangalifu sana mitandao ya kijamii.
  2. A

    Msaada: PPF Wananigomea kuchukua Mafao yangu wakati nilishaacha kazi

    duh haya bhana wanyonge sie, ahsante mkuu kunifahamisha.
  3. A

    Msaada: PPF Wananigomea kuchukua Mafao yangu wakati nilishaacha kazi

    Niliajiriwa na kampuni moja binafsi kwa kipindi cha mwaka mmoja kabla ya kuondoka na kujiajiri mwenyewe. Sasa leo nimeenda kuangalia statement yangu na kuona kuna kiasi fulani kizuri tu. Nikaomba form nijaze ili nichukue changu nikaambiwa haiwezekani hadi nifikishe miaka 55. Haya ni ya kweli...
  4. A

    Msaada juu ya fao la kujitoa PPF

    Niliajiliwa na kampuni moja binafsi kwa kipindi cha mwaka mmoja kabla ya kuondoka na kujiajiri mwenyewe. Sasa leo nimeenda kuangalia statement yangu na kuona kuna kiasi flani kizuri tu. Nikaomba form nijaze ili nichukue changu nikaambiwa haiwezekani hadi nifikishe miaka 55. Haya ni ya kweli...
  5. A

    Dodoma - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Dodoma hakuna shida ya maji mkuu
  6. A

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Hii nchi tunaishi kwa kubahatisha sana. Inaudhi,inatia hasira na kama kweli ccm ikishinda tena tutahitaji consultant apime iq ya watanzania,system imefeli na kuishiwa pumzi. Nipo jimbo la kawe,kata ya mivumoni,wazo kituo cha lagos. Hapa ni upuuzi mtupu mihuri inaharibika,wino zinaisha watu ni...
  7. A

    Uchambuzi wa ahadi za mgombea Urais kwa Tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Hajasema ataondoa foleni ya Dar kwa siku 21 kasema ataondoa folen ya mpakani Tunduma ndani ya siku 21 kitu ambacho KINAWEZEKANA ,Tunduma napafahamu sana.
  8. A

    TANESCO wamekata Umeme sehemu kubwa ya Nchi ya Tanzania, leo 29th Aug 2015

    Mkuu Tegeta wameukata nusu saa iliyopita ili tusione live, this not fair.
  9. A

    TANESCO wamekata Umeme sehemu kubwa ya Nchi ya Tanzania, leo 29th Aug 2015

    Hii inasikitisha sana, nipo maeneo ya Tegeta, Wazo. Nilikuwa naangalia Live ITV from Jangwani mara umeme umekatwa, hadi sasa ninapost thread hii umeme haujarudi. Hili ndilo goli la mkono? Vyovyote vile huu ni mwaka wa mabadiriko.
  10. A

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    maamuzi yangu ya kuipa kura yangu ukawa yapo pale pale
  11. A

    Rais Huyu-mwanaume wa Ukweli

    mi nasema bora nichague jiwe kuliko chukua chako mapema ccm. Miaka yote ngojera yao ni hi hi. Huu ni upuuzi mtupu
  12. A

    Contractor Class 6 and above inatafutwa

    Civil works and Building
  13. A

    Contractor Class 6 and above inatafutwa

    Hayo ni maji ya shingo boss.
  14. A

    Contractor Class 6 and above inatafutwa

    Kampuni iliyosajiriwa na CRB class 6 and above inatafutwa urgently. Aliye willing kuuza all kampun na si vinginevyo anipm au aweke bei yake haraka.
  15. A

    Natafuta kampuni Class 6 and above ya kununua, yenye civil work and building haraka

    Wadu kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Natafuta kampuni iliyosajiriwa na CRB urgently. Nataka kununua sio joint venture au kununua share.
Back
Top Bottom