Recent content by Ambuje Akunnungu

  1. Ambuje Akunnungu

    Wanao nunua spare za magari tukutane hapa

    Vp AC compressor ya Noah old model 3s bei gani
  2. Ambuje Akunnungu

    Utaratibu unaotaka mtumishi wa umma kubaki na walau moja ya tatu ya mshahara wake, haukufanyiwa utafiti wa kutosha na utaratibu huu umepitwa na wakati

    1/3 ni nzuri Sana tuliza kichwa, uliza watumishi hasa walimu watakupa experience zao kabla na baada ya huo utaratibu maisha yalikuwaje. Mwaka 2009 yupo mtu aliacha kazi kwasababu ya kubakiwa na mshahara wa elf 30 kwa mwezi, akaona ni kupoteza muda
  3. Ambuje Akunnungu

    Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

    Ni kweli maendeleo ya kiuchumi/kijamii yanahitaji takwimu sahihi, lakini je nikweli takwimu hizo ni pamoja na dini ya mtu? Kwamba eneo hili linahitaji kituo cha afya basi tujue watu wake ni dini gani? Naomba nikuulize, umetetea kipengele cha dini kwa hoja hiyo hiyo ya mazishi ya mazishi au...
  4. Ambuje Akunnungu

    Chonde chonde Rais Samia, Kipengele cha Dini kwenye sensa ni muhimu sana kwa sababu hii

    Kipengele cha dini ni upuuzi kuwekwa kwenye sensa. Sensa inalenga kutathmini maendeleo mutually na sio mafungamano yake na dini. Sioni hoja yeyote yenye msaada uliyoitoa pale serikali itakapogundua mikoa fulani iko nyuma kimaendeleo kwasababu watu wake ni wa dini fulani, zaidi ya kusema...
  5. Ambuje Akunnungu

    Spika Ndugai alikuwa na hoja ya msingi, tatizo sio kukopa bali kukopa wakati kuna tozo za miamala ambazo mlidai zanajenga madarasa na vituo vya afya

    Zifutwe Tena? Mahitaji ya madarasa elfu 10 ni mahitaji ya leo, baada ya miaka kadhaa mahitaji yataongezeka Kama ambavyo idadi ya watu inaongezeka. Unataka tukakope tena wakati huo ukifika? Jitahidi uelewe suluhisho la muda mfupi na muda mrefu kwa manufaa ya taifa
  6. Ambuje Akunnungu

    Tunauza magari aina zote

    Post Noah old model ulizonazo
  7. Ambuje Akunnungu

    Usiombe kwenda Bayport kuomba loan balance

    Ntendele alakwe, liisha lingamwile palukozi, kuzoza unafuu.
  8. Ambuje Akunnungu

    Car4Sale Nauza haya magari bila udalali

    Hivi kugonga chini huwa ni kufanyaje? Naomba ufafanuzi mkuu nijue
  9. Ambuje Akunnungu

    CHADEMA kinabezwa kwa vijimambo vidogo vidogo, hakipongezwi kwa mambo makubwa yenye maslahi kwa taifa

    Jambo kubwa zaidi ni kulinda na kutetea katiba ya nchi, kwa kurejeshea haki ya kugombea wale wagombea ambao walikataliwa na vyama vingine lakini wananchi waliwakubali, unaona hili ni jambo dogo kwako?
  10. Ambuje Akunnungu

    CHADEMA kinabezwa kwa vijimambo vidogo vidogo, hakipongezwi kwa mambo makubwa yenye maslahi kwa taifa

    Salaam; Awali ya yote, nimshukuru mungu baba, muumba mbingu na aridhi. Nimejipa fursa ya kupitia nyuzi Mia moja humu jukwaani zinazoihusu CHADEMA, bahati mbaya sana ni chache tu ambazo zimezungumzia wema wa CHADEMA kwa angle yeyote. Nimejiskia vibaya nikaona si vibaya nikumbushe jambo moja tu...
Back
Top Bottom