1/3 ni nzuri Sana tuliza kichwa, uliza watumishi hasa walimu watakupa experience zao kabla na baada ya huo utaratibu maisha yalikuwaje. Mwaka 2009 yupo mtu aliacha kazi kwasababu ya kubakiwa na mshahara wa elf 30 kwa mwezi, akaona ni kupoteza muda
Ni kweli maendeleo ya kiuchumi/kijamii yanahitaji takwimu sahihi, lakini je nikweli takwimu hizo ni pamoja na dini ya mtu? Kwamba eneo hili linahitaji kituo cha afya basi tujue watu wake ni dini gani? Naomba nikuulize, umetetea kipengele cha dini kwa hoja hiyo hiyo ya mazishi ya mazishi au...
Kipengele cha dini ni upuuzi kuwekwa kwenye sensa. Sensa inalenga kutathmini maendeleo mutually na sio mafungamano yake na dini. Sioni hoja yeyote yenye msaada uliyoitoa pale serikali itakapogundua mikoa fulani iko nyuma kimaendeleo kwasababu watu wake ni wa dini fulani, zaidi ya kusema...
Zifutwe Tena? Mahitaji ya madarasa elfu 10 ni mahitaji ya leo, baada ya miaka kadhaa mahitaji yataongezeka Kama ambavyo idadi ya watu inaongezeka. Unataka tukakope tena wakati huo ukifika? Jitahidi uelewe suluhisho la muda mfupi na muda mrefu kwa manufaa ya taifa
Jambo kubwa zaidi ni kulinda na kutetea katiba ya nchi, kwa kurejeshea haki ya kugombea wale wagombea ambao walikataliwa na vyama vingine lakini wananchi waliwakubali, unaona hili ni jambo dogo kwako?
Salaam;
Awali ya yote, nimshukuru mungu baba, muumba mbingu na aridhi.
Nimejipa fursa ya kupitia nyuzi Mia moja humu jukwaani zinazoihusu CHADEMA, bahati mbaya sana ni chache tu ambazo zimezungumzia wema wa CHADEMA kwa angle yeyote. Nimejiskia vibaya nikaona si vibaya nikumbushe jambo moja tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.