Recent content by ambs

  1. ambs

    JamiiForums Tanzania Kusafiri safari ndefu for fun (Road trip)

    Mwandishi hajatuambia anatumia usafiri gani ? Kifupi inawezekana kabisa mbona kwa pikipiki au gari
  2. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Mkuu Moro Dom parefu hahaaaa 260 km aaaah wewe kweli hatariiiiiiii Siku ya kurudi nilipachukulia poa kumbe bhana Bora dar Moro ila Moro Dom mmmmh mbaliiii aiseee
  3. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Ulikuwa na pkpk gani hiyoo aisee mmmmh kweli route ndefu sana hiyo aisee
  4. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Mkuu nakubaliana na wewe kwa asilimia 💯 kabisa huon umetumia masaa 13 kutoka Dom to mwanza . Alafu point kubwa hapo na fundisho chombo uwe na uhakika kipo sawa na service kama alivyosema Sasa Point yangu kusafiri usiku ni vizuri zaidi kuliko mchana chombo haichemki kupoteza nguvu sio rahisi...
  5. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Nilikuwa nasimama simama Picha sanaaa ilikuwa tour adventure Moja ya maana sanaaaa One day nitanunua Ile ya 250 cc nayo niione kwa route ndefu kama hizo
  6. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Aaaaah arooooh hii inaitwa kaambali na watotooo au weka mbali na watoto Nilikuwa na toyo 150cc Nilitoka dar mchana nikaenda kulala Moro kwa ndugu yangu na baadhi ya vitu nilichukua Nilitoka usiku saa 10 alfajili Moro to nzega vijijini bukene zaidi ya km 700 nilifika saa 4 usiku nilitembea...
  7. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Mkuu umeelezea vizuri sanaaa ULITUMIA Lita ngapi mafuta achana na sh ngap Lita Ok sawa usiku mm daaaah mchana sawaa
  8. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Ok sawa mkuu inbox ukija dar
  9. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Ok sorry alafu Kuna mtu aliuliza ULITUMIA kiasi gani Cha mafuta approximate Lita ngapi achana na sh ngap Mapumziko ya safari ni wapi na wapi Asanteee
  10. ambs

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Ok mkuu unaenda tena lini shy? Dar upo sehem gani sorry mm nipo mwenge hapa
  11. ambs

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kuhusu safari ya Dar kwenda Dodoma kwa pikipiki

    Kaka lucha ulisafiri na snl 125cc mwanza to Moro ulitumia siku ngapi au mwanza ulitoka saa ngap na Moro ulifika saa ngapi kwa kumbukumbu zako maana ni mda mrefu kidogo Makadilio Lita ngapi za wese ?
  12. ambs

    JamiiForums Tanzania Aina za Pikipiki: Ipi "taste" yako kwa Matumizi Binafsi?

    Sorry tupe experience Yako ni safari gani ndefu ulisafiri kwa pkpk gan na km ngap kwa mda gan
  13. ambs

    JamiiForums Tanzania Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

    Barabara ulipitia ipi Ile ya mkata , korogwe, same, Moshi, Arusha, babati, singida, igunga, nzega, tinde, then shy?
  14. ambs

    JamiiForums Tanzania Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125

    Ok sawa sawa mkuu aisee very nice kuhusu kupumzika vituo vilikiwa vingapi na Kila baada ya mda gani unaliamsha tena aiseee hapa Kuna shule na umakini na usalama nimeipenda
Back
Top Bottom